Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,023
- 18,563
Nimesoma maneno yafuatayo kutoka kwa msemaji wa TTL, Midladjy Maez, na kushindwa kuamini macho yangu;
Tayari mabehewa 14 yamekamilika ambapo kutakuwa na treni mbili ambazo kila moja itakuwa na mabehewa sita pamoja na mabehewa mawili yatakuwa ya akiba.
Akizungumzia ratiba ya treni hiyo, Maez alisema kuwa kutakuwa na safari mbili kwa siku.
Asubuhi kutakuwa na treni kutoka Ubungo Maziwa hadi mjini, jioni treni hiyo itatoka mjini hadi Ubungo Maziwa. Vituo vya treni vitakuwa vinane na itakuwa ikibeba abiria 950 na kila behewa litapakia abiria 160.
Nashindwa kuelewa kama hapa kweli kuna jitihada makini za kutatua tatizo la msongamano Dar, au labda tumeanza kuhujumiana na wale wanaomiliki daladala; safari mbili tu kwa siku, why??????????
Tayari mabehewa 14 yamekamilika ambapo kutakuwa na treni mbili ambazo kila moja itakuwa na mabehewa sita pamoja na mabehewa mawili yatakuwa ya akiba.
Akizungumzia ratiba ya treni hiyo, Maez alisema kuwa kutakuwa na safari mbili kwa siku.
Asubuhi kutakuwa na treni kutoka Ubungo Maziwa hadi mjini, jioni treni hiyo itatoka mjini hadi Ubungo Maziwa. Vituo vya treni vitakuwa vinane na itakuwa ikibeba abiria 950 na kila behewa litapakia abiria 160.
Nashindwa kuelewa kama hapa kweli kuna jitihada makini za kutatua tatizo la msongamano Dar, au labda tumeanza kuhujumiana na wale wanaomiliki daladala; safari mbili tu kwa siku, why??????????