Treni Lagonga Daladala

Sumbalawinyo

JF-Expert Member
Sep 22, 2009
1,282
247


Na Mwandishi Wetu

Taarifa zilizotufikia sasa hivi zinaeleza kuwa, basi moja la abiria (daladala) ambalo namba zake hazikuweza kupatikana mara moja, limegonga treni na kwamba mtu mmoja (mwanaume) amefariki dunia.

Ajali hiyo imetokea eneo la Davis Corner, Tandika Yombo jijini Dar es Salaam.

Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Temeke, Liberatus Sabas amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kufafanua kuwa watu 26 wamejeruhiwa na kukimbizwa katika hospitali ya Temeke kwa matibabu!
 
UDHAIFU WA SHERIA...!
sheria ilisema inapotokea ajali itakayohusisha TRENI...inakuwa mtu,baiskeli, gari,daladala ndo limegonga treni....!
hata kama mtu amekufa mtu huyo hustakiwa kwa kosa la kuigonga treni.....!
I ONCE SAID.......THE LAW IS BLIND....!
T542 ALR
 
Mkuu rekebisha title ya thread....nijuavyo treni haligongi ila linagongwa! Pole zangu kwa wafiwa & Majeruhi
 

Na Mwandishi Wetu
Taarifa zilizotufikia sasa hivi zinaeleza kuwa, basi moja la abiria (daladala) ambalo namba zake hazikuweza kupatikana mara moja, limegonga treni na kwamba mtu mmoja (mwanaume) amefariki dunia.
Ajali hiyo imetokea eneo la Davis Corner, Tandika Yombo jijini Dar es Salaam.

Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Temeke, Liberatus Sabas amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kufafanua kuwa watu 26 wamejeruhiwa na kukimbizwa katika hospitali ya Temeke kwa matibabu!​

Niliwaambia juzi wakati nachangia hoja ya ajari ya Dar - Arusha iliyouwa watu zaidi ya 30 nikasema madereva wana upungufu wa akili - kama si hivyo basi ni uzembe wa kipumbafu.

Mi nasema hawa madereva wanaosababisha ajali wasipokufa basi wawe kundi moja na wauwaji wa kutumia silaha. wafungwe maisha au miaka 30 na kazi ngumu.

Jamaa linapewa ishara lisimame, yeye akaamua kuchomekea trein kama alivyozoea kuchomekea magari siku zote- jamani vifo vingine vya kujitakia hivi.
 
niliwaambia juzi wakati nachangia hoja ya ajari ya dar - arusha iliyouwa watu zaidi ya 30 nikasema madereva wana upungufu wa akili - kama si hivyo basi ni uzembe wa kipumbafu.

Mi nasema hawa madereva wanaosababisha ajali wasipokufa basi wawe kundi moja na wauwaji wa kutumia silaha. Wafungwe maisha au miaka 30 na kazi ngumu.

Jamaa linapewa ishara lisimame, yeye akaamua kuchomekea trein kama alivyozoea kuchomekea magari siku zote- jamani vifo vingine vya kujitakia hivi.

hiii ni athari ya kujua kwingi.
Over speeding jumlisha bangi matokeo yake ndio haya.
 
Niliwaambia juzi wakati nachangia hoja ya ajari ya Dar - Arusha iliyouwa watu zaidi ya 30 nikasema madereva wana upungufu wa akili - kama si hivyo basi ni uzembe wa kipumbafu.

Mi nasema hawa madereva wanaosababisha ajali wasipokufa basi wawe kundi moja na wauwaji wa kutumia silaha. wafungwe maisha au miaka 30 na kazi ngumu.

Jamaa linapewa ishara lisimame, yeye akaamua kuchomekea trein kama alivyozoea kuchomekea magari siku zote- jamani vifo vingine vya kujitakia hivi.
11.jpg

ha ha ha we umeona kwanza daladala lenyewe hapo break itoke wapi?
 
Niliwaambia juzi wakati nachangia hoja ya ajari ya Dar - Arusha iliyouwa watu zaidi ya 30 nikasema madereva wana upungufu wa akili - kama si hivyo basi ni uzembe wa kipumbafu.

Mi nasema hawa madereva wanaosababisha ajali wasipokufa basi wawe kundi moja na wauwaji wa kutumia silaha. wafungwe maisha au miaka 30 na kazi ngumu.

Jamaa linapewa ishara lisimame, yeye akaamua kuchomekea trein kama alivyozoea kuchomekea magari siku zote- jamani vifo vingine vya kujitakia hivi.
Kumbe humu ndani kuna watu wasio na busara, gari likikatika brake dereva ana kosa gani, kuna mtu anapenda kupata ajari, ktk ajari hii, unaambiwa pale hakuna alama yoyote na wala hakuna mshika kibendera kuashilia trane, na kila wakati ajari za magari na trane utokea pale pale.

Hoja hapa ni hizi sheria zetu, haiwezekani mtu agonge trane, trane inapokuja bila kupiga honi na hakuna taa nyekundu kuashilia ujio wa trane, basi isomeke kuwa trane imegonga mtu, ila kama vyote hivyo vimefanyika iwe kinyume chake.
 
Kila mara unapotoa thread kuwa makini na kichwa cha habari unachotumia ili kisiwachanganye wasomaji. Hii habari niliisoma jana kuwa daladala imegonga treni.

Poleni wafiwa maana maisha haya siku hizi ukitoka nyumbani asubuhi na kurudi salama jioni ni kushukuru Mungu maana ajali za barabarani zinatisha kama sio kilema basi haupo kabisa, kila kuchicha afadhali ya jana. Wana Jamii Tumuombe sana Mungu kama FL1 alivyotushauri.

Tutayaweza mambo yote katika Yeye atutiaye nguvu; na katika mambo yote tumkiri Yeye naye Atayanyoosha mapito yetu.
 
Kumbe humu ndani kuna watu wasio na busara, gari likikatika brake dereva ana kosa gani, kuna mtu anapenda kupata ajari, ktk ajari hii, unaambiwa pale hakuna alama yoyote na wala hakuna mshika kibendera kuashilia trane, na kila wakati ajari za magari na trane utokea pale pale.

Hoja hapa ni hizi sheria zetu, haiwezekani mtu agonge trane, trane inapokuja bila kupiga honi na hakuna taa nyekundu kuashilia ujio wa trane, basi isomeke kuwa trane imegonga mtu, ila kama vyote hivyo vimefanyika iwe kinyume chake.

Wewe ushawahi kuendesha gari? Gari linakatika brake kwa sabubu zipi na kwa nini? na kwa nini likatike hizi brake ghafla? unajua njisi braking system ilivyo na invyofanya kazi? HUJUI na ndiyo maana unatetea uzembe wa hawa watu? jaribu kufikiria scenario ya ajali siyo ukukurupuke na hoja zako za brake.

Hata kama hakuna alama yoyote lazima kama dereva uwe na caution, na kama kibao kinachokwambia eneo hili speed ni 60km/h hakipo wewe ukifika hapo unawenda tu speed 120km/h then unajiita dereva? na je yule dereva wa daladala hakujua kuwa pale kuna kivuko cha Reli?

Ni sawa na mtu unaenda speed 120km/h anashindwa kukata kona then tyre ya mbele ndani upande wa kona ilipo inapasuka au gari inamshinda inapinduka anasema ni bahati mbaya - shame

usitete ujinga - ningekuelewa ungeniambia gari lilikuwa bovu sana kiasi kwamba system zake nyingi hazifanyi kazi na ilikuwa makosa hata kuwa barabarani na ndiyo chanzo cha ajali - brake zitoke wapi ukiangalia hizo picha?

Sheria za driving zinasema wazi kuendesha gari bovu pia ni kosa- tetea tena madereva wako.
 
Hata kama hakuna alama yoyote lazima kama dereva uwe na caution, na kama kibao kinachokwambia eneo hili speed ni 60km/h hakipo wewe ukifika hapo unawenda tu speed 120km/h then unajiita dereva? na je yule dereva wa daladala hakujua kuwa pale kuna kivuko cha Reli?

usitete ujinga - ningekuelewa ungeniambia gari lilikuwa bovu sana kiasi kwamba system zake nyingi hazifanyi kazi na ilikuwa makosa hata kuwa barabarani na ndiyo chanzo cha ajali - brake zitoke wapi ukiangalia hizo picha?

Sheria za driving zinasema wazi kuendesha gari bovu pia ni kosa- tetea tena madereva wako.
Naona wewe hujawahi hata kuendesha hata baiskeli, unapotaka kuvuka reli ni lazima uwe kwenye speed vingine uwe kwenye namba moja, bila hivyo gari linazimika, pia tumezoea kama kuna trane inakuja, ni lazima awepo mtu wa kuashilia hilo au taa nyekundu, kama vyote hivyo hakuna unalazimika kupita kasi, vinginevyo gari linazimika, ndio maana magari mengi ugongwa kwenye reli kwa sababu ya kupitisha magari yao slowly na hatimaye kuzimika,

Hoja bado iko pale pale, TRL wana makosa na wao ndio wamegonga gari, sio gari limegonga trane, na mtoa hii thread yuko sahihi na heading yake maana ndivyo tukio lilivyotokea.
 
Naona wewe hujawahi hata kuendesha hata baiskeli, unapotaka kuvuka reli ni lazima uwe kwenye speed vingine uwe kwenye namba moja, bila hivyo gari linazimika, pia tumezoea kama kuna trane inakuja, ni lazima awepo mtu wa kuashilia hilo au taa nyekundu, kama vyote hivyo hakuna unalazimika kupita kasi, vinginevyo gari linazimika, ndio maana magari mengi ugongwa kwenye reli kwa sababu ya kupitisha magari yao slowly na hatimaye kuzimika,

Hoja bado iko pale pale, TRL wana makosa na wao ndio wamegonga gari, sio gari limegonga trane, na mtoa hii thread yuko sahihi na heading yake maana ndivyo tukio lilivyotokea.

Sawa, Nimeshaliona gari lako lililogonga train -
 
Back
Top Bottom