Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,442
- 113,452
- Thread starter
- #241
Bandiko hili ni angalizo nililitoa kitambo, kuwa wanaohamia CCM wasibezwe!. Makamanda waliokuwa Chadema na kuhamia CCM sasa ndio wanakwenda kuwa mwiba kwa upinzani
P
Endelea kustaajabu, kwa taarifa tuu na kukusaidia, Joshua Nasari, amejitambua na kuchukua hatua kwa kujiunga na the best party in Tanzania!.Mabibi na mabwana, heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.
Wahenga walisema staajabu ya Mussa lakini siyo ya Firauni.
Je, huyu si ndiye aliyemtuhumu jiwe kununua wabunge?
View attachment 1575679
Ama kweli staajabu ya Mussa!
P