Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,466
- 113,548
Wanabodi,
Declaration of Interest
Kufuatia kukaza kwa vyuma, ile nusu bei leo imetuwezesha sisi baadhi yenu tuliofulia, angalau kupumua kwa kupata kanguvu kidogo angalau kuweza kuamka na kujikongoja kwa kutembea na Joni Mtembezi, hivyo ikitokea ukajiona kama bandiko hili hulielewi elewi, nisamehe bure, ni mambo tuu ya nusu bei, hivyoi hili ni bandiko la Siasa za michezo, siasa za ushindi kwa kutumia a collective will powers.
Angalizo.
Naomba kuanza na angalizo. Kama wewe ni miongoni mwa wale wenye allergies na mafanikio yoyote ya rais Magufuli na awamu ya tano, hivyo alipongezwa, wewe unakasirika, then nakushauri bora uishie hapa ili tusiharibiane siku, kwa sasa taifa liko kwenye a happy mood kutokana na ushindi wa taifa Stars, hivyo naombeni msilete frustrations zenu mkatuharibia mood zile nusu bei zikakata.
Kwanza nijiunge na Watanzania wenzangu kuipongeza Timu yetu ya Taifa, Taifa Stars kututoa kimasomaso, hongereni sana!, naomba ushindi huu usiwe ni nguvu ya soda ukaishia kuwa ushindi wa ngama!.
Najua kupitia kitu kinachoitwa Trend Reading, Timu yetu ya Taifa Stars, soon Itaaalikwa Ikulu ili kupongezwa na rais kwa ushindi huu. Ushindi huu ni dalili njema ya kung'aa kwa nyota ya Rais Magufuli, kuirudisha Tanzania kwenye ramani ya kimataifa katika medani za michezo kiAfrica na kimataifa.
Naombeni kutoa angalizo, katika pongezi hizo, ushindi huo utawianishwa na mafanikio ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM upande wa sera ya michezo kama ilivyo ainishwa kwenye Ilani ya uchaguzi ya CCM, rais Magufuli apongezwe kwa mafanikio haya kama ilivyo ada all credits zienda kwa Baba kwa jinsi ile ile ya mkubwa ni jalala, lakini nawaomba sana, don't politicise it. Tusipoliticise kila kitu for political mileage, tuanze kujenga utamaduni wa kutukuza utaifa bila kuingiza politics kwenye maslahi ya taifa, tuweke pembeni siasa na tofauti zetu zote Tutangulize utaifa wetu, umoja wetu na Utanzania wetu.
Somo la Ushindi
Siri ya ushindi wa leo ni the collective will powers za Watanzania wote wa vyama vyote kudhamiria Tanzania ishinde, dhamira hiyo ikatengeneza nguvu ya will ya ushindi collectively toka kwa Watanzania wote kutokana na kuhamasishwa, hivyo ikajenga a strong momentum na kutuletea ushindi.
Upendo, amani, umoja na maendeleo pia yakihamashishwa hivi tukaweka a collective will powers za kuleta maendeleo, tutapata maendeleo na tutaendelea!
Ukitokea ni kweli vyama vingi winatuletea migogoro na kuchelewesha maendeleo, Watanzania tukihamashishwa katika umoja wetu, na zikatolewa hoja za msingi za kuvikataa vyama vingi, Watanzania watavikataa vyama vingi na kuichagua CCM pekee, vyama vya upinzani vinakufa, na uchaguzi wa 2020 tunaichagua tuu CCM pekee, tunarejea kwenye nchi ya chama kimoja, tunapata maendeleo tarajiwa.
Lakini pia kama ni kweli chanzo umasikini huu wa Tanzania ni sera mbovu za CCM, chanzo cha rushwa na ufisadi ni CCM, Watanzania wakihamasishwa kwa kuelimishwa jinsi CCM ilivyo lilidimiza taifa hili na kuonyeshwa mifano ya nchi tulizopata nazo uhuru huku zikiwa nchi hizo zikiwa hazina kitu kabisa kulinganisha na sisi tuliokuwa na kila kitu, tukaonyeshwa nchi hizo sasa hivi ziko wapi, halafu ukilinganisha na sisi Tanzania tulipo licha ya rasilimali lukuki tulizo nazo, Watanzania katika umoja wetu tukihamasika kusema, enough is enough, amini usiamini, CCM, inakwenda!
Ila Tanzania tuna tatizo jingine kubwa, hata tukihamasika kuipiga chini CCM ikaanguka, then tunaichagua nini au nani?. Kiukweli kabisa kwa siasa zetu hapa tulipo, bado CCM haina mbadala, hivyo hata Watanzania tukiamua kusema no na kudhamiria kuipiga chini CCM, mazingira ya kutokuwepo mbadaka, kunaturudisha kule kule kwenye CCM ni zimwi likujualo. Ni hapo tuu!
The central message hapa ni sisi Watanzania wote tukidhamiria kwa dhati na tukiamua kwa pamoja collectively ku wish kushinda tunashinda!
Hongereni Watanzania ku I will Taifa Star ishinde ikashinda, tusiishie kwenye michezo, twende kwenye uchumi, social services na kumalizia kwenye siasa
Mungu Ibariki Tanzania
Paskali
Update:
Tukio hili, limethibitishwa kutokea leo saa kuanzia saa 4:00, Timu ya Taifa Stars na Kamati ya uhamasishaji, wamealikwa lunch ikulu, tukio hili litatangazwa mubashara na TBC1 na TBC Taifa.
P.
Declaration of Interest
Kufuatia kukaza kwa vyuma, ile nusu bei leo imetuwezesha sisi baadhi yenu tuliofulia, angalau kupumua kwa kupata kanguvu kidogo angalau kuweza kuamka na kujikongoja kwa kutembea na Joni Mtembezi, hivyo ikitokea ukajiona kama bandiko hili hulielewi elewi, nisamehe bure, ni mambo tuu ya nusu bei, hivyoi hili ni bandiko la Siasa za michezo, siasa za ushindi kwa kutumia a collective will powers.
Angalizo.
Naomba kuanza na angalizo. Kama wewe ni miongoni mwa wale wenye allergies na mafanikio yoyote ya rais Magufuli na awamu ya tano, hivyo alipongezwa, wewe unakasirika, then nakushauri bora uishie hapa ili tusiharibiane siku, kwa sasa taifa liko kwenye a happy mood kutokana na ushindi wa taifa Stars, hivyo naombeni msilete frustrations zenu mkatuharibia mood zile nusu bei zikakata.
Kwanza nijiunge na Watanzania wenzangu kuipongeza Timu yetu ya Taifa, Taifa Stars kututoa kimasomaso, hongereni sana!, naomba ushindi huu usiwe ni nguvu ya soda ukaishia kuwa ushindi wa ngama!.
Najua kupitia kitu kinachoitwa Trend Reading, Timu yetu ya Taifa Stars, soon Itaaalikwa Ikulu ili kupongezwa na rais kwa ushindi huu. Ushindi huu ni dalili njema ya kung'aa kwa nyota ya Rais Magufuli, kuirudisha Tanzania kwenye ramani ya kimataifa katika medani za michezo kiAfrica na kimataifa.
Naombeni kutoa angalizo, katika pongezi hizo, ushindi huo utawianishwa na mafanikio ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM upande wa sera ya michezo kama ilivyo ainishwa kwenye Ilani ya uchaguzi ya CCM, rais Magufuli apongezwe kwa mafanikio haya kama ilivyo ada all credits zienda kwa Baba kwa jinsi ile ile ya mkubwa ni jalala, lakini nawaomba sana, don't politicise it. Tusipoliticise kila kitu for political mileage, tuanze kujenga utamaduni wa kutukuza utaifa bila kuingiza politics kwenye maslahi ya taifa, tuweke pembeni siasa na tofauti zetu zote Tutangulize utaifa wetu, umoja wetu na Utanzania wetu.
Somo la Ushindi
Siri ya ushindi wa leo ni the collective will powers za Watanzania wote wa vyama vyote kudhamiria Tanzania ishinde, dhamira hiyo ikatengeneza nguvu ya will ya ushindi collectively toka kwa Watanzania wote kutokana na kuhamasishwa, hivyo ikajenga a strong momentum na kutuletea ushindi.
Upendo, amani, umoja na maendeleo pia yakihamashishwa hivi tukaweka a collective will powers za kuleta maendeleo, tutapata maendeleo na tutaendelea!
Ukitokea ni kweli vyama vingi winatuletea migogoro na kuchelewesha maendeleo, Watanzania tukihamashishwa katika umoja wetu, na zikatolewa hoja za msingi za kuvikataa vyama vingi, Watanzania watavikataa vyama vingi na kuichagua CCM pekee, vyama vya upinzani vinakufa, na uchaguzi wa 2020 tunaichagua tuu CCM pekee, tunarejea kwenye nchi ya chama kimoja, tunapata maendeleo tarajiwa.
Lakini pia kama ni kweli chanzo umasikini huu wa Tanzania ni sera mbovu za CCM, chanzo cha rushwa na ufisadi ni CCM, Watanzania wakihamasishwa kwa kuelimishwa jinsi CCM ilivyo lilidimiza taifa hili na kuonyeshwa mifano ya nchi tulizopata nazo uhuru huku zikiwa nchi hizo zikiwa hazina kitu kabisa kulinganisha na sisi tuliokuwa na kila kitu, tukaonyeshwa nchi hizo sasa hivi ziko wapi, halafu ukilinganisha na sisi Tanzania tulipo licha ya rasilimali lukuki tulizo nazo, Watanzania katika umoja wetu tukihamasika kusema, enough is enough, amini usiamini, CCM, inakwenda!
Ila Tanzania tuna tatizo jingine kubwa, hata tukihamasika kuipiga chini CCM ikaanguka, then tunaichagua nini au nani?. Kiukweli kabisa kwa siasa zetu hapa tulipo, bado CCM haina mbadala, hivyo hata Watanzania tukiamua kusema no na kudhamiria kuipiga chini CCM, mazingira ya kutokuwepo mbadaka, kunaturudisha kule kule kwenye CCM ni zimwi likujualo. Ni hapo tuu!
The central message hapa ni sisi Watanzania wote tukidhamiria kwa dhati na tukiamua kwa pamoja collectively ku wish kushinda tunashinda!
Hongereni Watanzania ku I will Taifa Star ishinde ikashinda, tusiishie kwenye michezo, twende kwenye uchumi, social services na kumalizia kwenye siasa
Mungu Ibariki Tanzania
Paskali
Update:
Tukio hili, limethibitishwa kutokea leo saa kuanzia saa 4:00, Timu ya Taifa Stars na Kamati ya uhamasishaji, wamealikwa lunch ikulu, tukio hili litatangazwa mubashara na TBC1 na TBC Taifa.
P.