Rubawa
JF-Expert Member
- Dec 25, 2015
- 2,055
- 3,239
Safi sna kaka kuna baadhi ya vitu lazima tusimame pamoja km watanzania mtu awezi kuitia nchi kwenye hasara kwa sababu za kijinga hlf kesho watu wa mchague tna utakuwa utoto...Wanabodi,
Bandiko hili ni muendelezo wa ile hoja yangu kuwa Watanzania kwa muda mrefu tumekuwa tukifanywa mazuzu na baadhi ya wanasiasa na vyama vya siasa kwa kutuletea ujinga, na wanasiasa wajinga, just to take us for granted kuwa kwa vile ni chama kikubwa, kinapesa sana, kinapendwa sana, na kinakubalika sana, hata wakisimamisa jiwe, jiwe litachaguliwa!.
Ujinga huu ndio CCM imewafanyia wana Kinondoni kwa kuwaletea mgombea aliyewafanyia ujinga fulani kinondoni.
Hivyo baada ya Chadema kumtangaza Salum Mwalimu, kugombea jimbo la Kinondoni katika uchaguzi wa marudio, naamini hata wana CCM wasiokubali ujinga huu, watamchagua Salum Mwalimu!.
Inaendelea
Paskali