Treasury Bonds/T-bonds/T-Bills/Bonds/Hati Fungani ni Uwekezaji "Kichaa"

Kwa jinsi mambo yalivyotokea kipindi cha nyuma kidogo uwekezaji wa aina hii ulipungua kiasi chake, ni wazi kunahitajika sera bora zenye manufaa na kuhakikishiwa usalama kwa wawekezaji nchini, wote wawekezaji wa ndani na hata wa nje. Benki kuu kimsingi imejitahidi mno katika kutoa viwango vizuri vya riba katika hizi treasury bills na bonds.
Walau katika kipindi cha Mama yetu sera za uwekezaji zinaeleweka. Wawekezaji wanahitaji uwekezaji wenye uhakika hivyo naamini kwa mambo yalivyo huenda interest cap ikazidi kupanda kila watakapo toa coupon rates mpya. Mimi ninawekeza katika vipindi vya miaka 7 tu na interest cap yake inanipa manufaa zaidi kuliko bonds za miaka 25. Hasa ukizingatia inflation pamoja na mabadiliko ya kisera.
Ni uwekezaji muhimu kwani ni less risky lakini faida yake haijengwi na Leo. Ila ni salama mno kuliko ununuzi wa hisa hasa kama huna financial knowledge ya soko la hisa la Dar Es Salaam (DSE).
Mkuu natamani sana kujua kiundani zaidi kuhusu uwekezaji wa namna hii.
Tafadhali naomba unipe dondoo namna ya kuanza na ABCs nyingine muhimu,
Shukrani.
 
Kuna mdau alipuuzaa ushauri wangu, nilimwambia asubirie mnada huu wa mwezi wa April. Akakaidi akaenda nunua Kwa 148.9...ukaidi wake Leo umekuwa wa FAIDA mama difference ya % mpya Kwa mzigo alioweka,Kwa mwaka ni pareefu saana. 10m+ per annum.

Kaka habar samah km hutojal naweza pata mawasiliano yako kaka kuna kitu nataka nifaham juu ya hatifungan km hutojal ndugu
 
Kaka habar samah km hutojal naweza pata mawasiliano yako kaka kuna kitu nataka nifaham juu ya hatifungan km hutojal ndugu
Anzia utt unaweza jiunga kupitia simu yako , usajili utaenda kuukamilisha kwenye office zao au mawakala wao ambao ni CRDB. Utt wana mifuko tofauti , utajiunga mfuko wa hati fungani au bonds.

Kianzio cha chini ni sh 50000.
Muendelezo wa kuongeza mtaji kuanzia ni sh 5000.
 
Wenye hela zao hata hawapo hapa. Wapo huko busy kutafuta hati fungani za serikali zenye riba nzuri na kuzungusha pesa zao kwa faida nono.

Wasiokuwa nazo sasa, hela za ngama.. Kulalamika hakuishi.

Kama unaona haina faida au ni gharama basi jua HUWEZI kumudu huo uwekezaji.

Kafanye biashara nyingine ukuze mtaji
 
Kama wewe ni kijana nwenye akili timamu na nguvu za kufanya kazi ni bora ukafanya biashara kuliko kununua izo bonds

Hizo ni kwa ajili ya wazee above 60, imagine mtu anakwambia ukiwekeza, unapata faida 12% kwa mwaka, mfano umewekeza 10M baada ya mwaka mmoja unapata 1.2M kama faida

Ikiigawa iyo 1.2M kwa miezi 12 maana yake ni faida ya laki moja kwa mwezi au Tsh 3,300 kwa siku

Hapo kigezo utaambiwa ni risk free, mtaji hapo ni 10M, ukiwa sehemu yoyote ya nchi kwa mtaji hata wa 100k unaweza kutengeza faida nzuri tuu na maisha yakasogea

Personally nina biashara ya mtaji wa 10M, napata faida ya 1M after all expences za ofisi.

KAZI IENDELEE
 
Kama wewe ni kijana nwenye akili timamu na nguvu za kufanya kazi ni bora ukafanya biashara kuliko kununua izo bonds

Hizo ni kwa ajili ya wazee above 60, imagine mtu anakwambia ukiwekeza, unapata faida 12% kwa mwaka, mfano umewekeza 10M baada ya mwaka mmoja unapata 1.2M kama faida

Ikiigawa iyo 1.2M kwa miezi 12 maana yake ni faida ya laki moja kwa mwezi au Tsh 3,300 kwa siku

Hapo kigezo utaambiwa ni risk free, mtaji hapo ni 10M, ukiwa sehemu yoyote ya nchi kwa mtaji hata wa 100k unaweza kutengeza faida nzuri tuu na maisha yakasogea

Personally nina biashara ya mtaji wa 10M, napata faida ya 1M after all expences za ofisi.

KAZI IENDELEE
Hiyo siyo biashara bali ni mfumo mzuri wa kuweka akiba yako yenye kuzaa. Wewe km una run mtaji 10 mil. Lazima uwe na akiba Je hyo akiba unaitengenezea mazingira gani? Wenye pesa hizo bonds ndio akiba zao na biashara wanarun km kawaida.
 
Hiyo siyo biashara bali ni mfumo mzuri wa kuweka akiba yako yenye kuzaa. Wewe km una run mtaji 10 mil. Lazima uwe na akiba Je hyo akiba unaitengenezea mazingira gani? Wenye pesa hizo bonds ndio akiba zao na biashara wanarun km kawaida.
Sina hela ya kuweka akiba kwa zaidi ya mwaka mmoja, never and ever.

Hua nafikiria jinsi ya kumultiply hela yangu siku zote hata kama ni elfu 1
 
Kama wewe ni kijana nwenye akili timamu na nguvu za kufanya kazi ni bora ukafanya biashara kuliko kununua izo bonds

Hizo ni kwa ajili ya wazee above 60, imagine mtu anakwambia ukiwekeza, unapata faida 12% kwa mwaka, mfano umewekeza 10M baada ya mwaka mmoja unapata 1.2M kama faida

Ikiigawa iyo 1.2M kwa miezi 12 maana yake ni faida ya laki moja kwa mwezi au Tsh 3,300 kwa siku

Hapo kigezo utaambiwa ni risk free, mtaji hapo ni 10M, ukiwa sehemu yoyote ya nchi kwa mtaji hata wa 100k unaweza kutengeza faida nzuri tuu na maisha yakasogea

Personally nina biashara ya mtaji wa 10M, napata faida ya 1M after all expences za ofisi.

KAZI IENDELEE
That's an investment wewe kilaza!
 
Back
Top Bottom