sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 8,076
- 7,449
Bado ni siri,Wekeni na picha mabehewa ya mwakani sasa
Tuyaone
Bado ni siri,Wekeni na picha mabehewa ya mwakani sasa
Tuyaone
Labda ukiondoa kichwa yatafanana na yale, kwa yale sijaona kichwa
Mtumba hauwez kutembea hizo kmh, hautofikaMimi kama hiyo Treni itakuwa inetembea 140kph hata iwe na muundo kama Boflo i don't care ninachotaka Dar to Mza iwe masaa 10.
Ni kweli mkuu ila hivyo ni vipande. Wanajenga kwa vipande. Hata toka Moro-Dom kuna vipande vingi tayari ila mradi bado maana kazi si kuweka reli tu.Mkuu mimi nimeona kwa macho yangu Reli ya SGR ikiwa imefika Kintinku Wilaya ya Manyoni Mkoa wa Singida.
Msema kweli ni Mpenzi wa Mungu.
Ila kwa kusema ukweli wanaenda vizuri na sasa ila nadhani pale Saranda Mlimani itawachukua muda kuuchoronga Mlima ule.Ni kweli mkuu ila hivyo ni vipande. Wanajenga kwa vipande. Hata toka Moro-Dom kuna vipande vingi tayari ila mradi bado maana kazi si kuweka reli tu.
Muonekano wa behewa unabashiri kichwa kitakuwaje halafu sisi tunataka mabehewa yanayoendana na uwekezaji na usasa ,why watuletee mabehewa ya mkoloni?Labda ukiondoa kichwa yatafanana na yale, kwa yale sijaona kichwa
Haya ndio yalitakiwa yaje na ndo Magufuli alimpa tenda huyo mkorea. Baada ya kufa wakabadili upepo wakampa tender mtu wao ndio aliotuletea uchafu huu wanaosingizia ni wa masafa marefu.Je, ni Yale yale aliyokagua Majaliwa au ndio tuendelee kudanganywa na kuonekana sisi watoto
View attachment 2427000
Tuliza mshonoWekeni na picha mabehewa ya mwakani sasa
Tuyaone