Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,491
- 3,998
Kwa mara ya kwanza nilisafiri na treni ya Deluxe mwaka huu mwezi wa kwanza. Niliinjoy sana kutokana na huduma na mambo niliyojionea huko
Uzi huu 👇👇
Katikati ya mwaka huu nilisafiri kwenda Moshi msibani ila nisafiri na msafara wa coster (za msiba) zilikua 8 na gari za kawaida kama 5 pamoja na ila ya special kwa maiti 1.
Wakati wa kurudi sababu tulirudi na hizo gari nikagusia usafiri wa treni na jinsi ulivyo mzuri. Jambo kusikitisha nilikutana na wasafiri wa treni wakisema hawatapanda tena treni kwani walitoka Moshi jioni ya saa 10 na kufika Dar saa 5 asubuhi (11:00 am).
Walilalamika kuwa ilikua inasimama sana na pia mwendo ulikua mdogo tofauti na ilivyozinduliwa.
Sasa mimi naipenda hii treni na nimeitangaza sana hata niliona ushauri ambao niliotoa mwanzo kwenye uzi juu hapo ulitekelezwa. Sasa https://www.jamiiforums.com/members/tanzania-railways-corp.481608/ kuna mabadiliko au bado mmekariri biashara? Mwaka huu mnakuja na kivutio gani cha kushawishi watu wapande treni? Vipi swala la muda mmerekebisha au bado ni saa 5 kuwasili?
My take:
Ili kuweza kumudu changamoto hizi za kuchekewa bora kuwe na vichwa vya kubali ili kuepusha zile service baada ya kuwasili na kugeuza. Kila trip na kichwa chake,kikitfika hiki kinageza kingine ambacho kimeshapoa na kuchekiwa na kiko tayari kwa safari.
Uzi huu 👇👇
Mrejesho wa safari ya treni kwenda Moshi full bata
Kwanza kabisa napenda kuishukuru serikali kwa kufufua shirika la reli Tanzania na pongezi kwa shirika hilo TRC kwani kazi waliyoifanya ni kubwa sana kulinganisha na watu wanavyoropoka tu bila kushuhudia kwa macho. SAFARI ILIANZA SAA 11 JIONI NA KUWASILI MOSHI SAA 1 ASUBUHI NA DK 20. Usafiri wa...
www.jamiiforums.com
Katikati ya mwaka huu nilisafiri kwenda Moshi msibani ila nisafiri na msafara wa coster (za msiba) zilikua 8 na gari za kawaida kama 5 pamoja na ila ya special kwa maiti 1.
Wakati wa kurudi sababu tulirudi na hizo gari nikagusia usafiri wa treni na jinsi ulivyo mzuri. Jambo kusikitisha nilikutana na wasafiri wa treni wakisema hawatapanda tena treni kwani walitoka Moshi jioni ya saa 10 na kufika Dar saa 5 asubuhi (11:00 am).
Walilalamika kuwa ilikua inasimama sana na pia mwendo ulikua mdogo tofauti na ilivyozinduliwa.
Sasa mimi naipenda hii treni na nimeitangaza sana hata niliona ushauri ambao niliotoa mwanzo kwenye uzi juu hapo ulitekelezwa. Sasa https://www.jamiiforums.com/members/tanzania-railways-corp.481608/ kuna mabadiliko au bado mmekariri biashara? Mwaka huu mnakuja na kivutio gani cha kushawishi watu wapande treni? Vipi swala la muda mmerekebisha au bado ni saa 5 kuwasili?
My take:
Ili kuweza kumudu changamoto hizi za kuchekewa bora kuwe na vichwa vya kubali ili kuepusha zile service baada ya kuwasili na kugeuza. Kila trip na kichwa chake,kikitfika hiki kinageza kingine ambacho kimeshapoa na kuchekiwa na kiko tayari kwa safari.