Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
kuna mtu hapo juu kasema kuwa mwanae kapewa tenda ya kusupply suti pale wizarani sidhani kama kuna ukweli kwenye hili maana nijuavyo mie kuwa yule dogo tangu aoe mdhungu huko USA hana shida ya kugombania tenda za suti
Lakini pia tusisahau kuwa huu huyu Blandina allipokuwa Accountant General alikuwa hana uhusiano mzuri na TDPF lakini nyepesi nyepesi ni kuwa alikuwa anafanya mambo ambayo yalikuwa yanaweza kusomeka kama treason sijui kile kimbembe chake kiliishia wapi
Zaidi ya hayo kuna habari amekuwa akimpiga presha JK ampe cheo kikubwa zaidi kwani vyeo alivyopewa ni chini ya "standards zake"
BTW ...Hivi JUMANNE MAGHEMBE bado anaendelea kula mzigo au keshaachia?
Mkuu kwenye red ya kwanza: Najiuliza ukioa mdhungu unakuwa hutaki tena hela au? Fedha fedheha mkuu.
Red ya pili una maana TPDF au? Tudadavulie basi tujue huo uhaini ulikuwaje mkuu