TRA's Kitilya to retire from public service, Blandina Nyoni or Dr. Dau to take over...

Hii idara ni muhimili mkubwa sana kwa uchumi wa nchi. Bahati mbaya sasa hivi nayo imeoza, watu wafanya biashara wanakimbia bandari za TZ kutokana na ukiritimba rushwa mpaka kwa mfagiaji. We need a strong person who can change TRA.
 
I happened kufanya kazi na wote hao waili sehemu tofauti; sijui kuhusiana na udini kwani sijauona nilipokuwa huko lakini huyu Dr. Dau ni performer katika uongozi, nadhani anafaa kui-modernize TRA iliyokufa. But huyu Nyoni ni bomu zaidi ya Makinda wana jf-hafai hafai-hafai, la kama tunataka gender, haya tumpe tuone kama mishahara haijafika tarehe 55 apa
 
Watuletee Dr. Enos Bukuku....wetu......anafaa kwa hiyo senior na sensitive post.....kule eac ni kupoteza tu raslimali mtu wetu.
 
Kama hizo rumor ni kweli basi i bet for Dau najua karibia ataanza mfungo wa mwezi mtukufu, ni mawazo tu wadau.
Kwanini usibaki na mawazo yako kuliko kutuletea ujinga hapa, kwavipi mfungo wa ramadhan unaweza kuingilia utendaji wa mtu kama sio udini huo?
 
ilikua awe LUOGA lakini kishachafuliwa na dr slaa!taasisi kama ile inatakiwa mtu anayeijua kiundani vinginevyo huyo mgeni atjifunza na kupokea majungu muda wa miaka 3
 
Pale TRA kuna mtu mmoja anaitwa Kamugisha alishawahi kuwa Director of Research and Policy pale huyu jamaa ni very smart guy, competent lakini amekuwa aklpigwa zengwe kwa ajili ya maslahi ya watu binafsi, nchi hatutofika kabisa
 
unajua sisis watanzania sijui tupo vipi tunafikiria ndani ya upeo mdogo sana,kwa ni lazima dau au brandina ?mbona kuna watu wengi sana huku kwenye secta binafi na wana uwezo mkubwa,kwanini isitangazwe watu wakaomba then wkafanyiwa interview wakapatikana watu wengine ,kuna umuhimu wa kubadilisha sheria zetu
 
Mi ningekua Dr. Dau nisingekubali kuachia uDG NSSF kwa ajili ya uCEO TRA... Maana itakua ni DEMOTION!
 
jf imetawaliwa na udini. hakuna mchango ambao wahusika wanaweza kuuchukua na kuufanyia kazi zaidi ya kupondana kiudini udini...
 
jf imetawaliwa na udini. hakuna mchango ambao wahusika wanaweza kuuchukua na kuufanyia kazi zaidi ya kupondana kiudini udini...

Tatizo kuna waliolewa status quo ya enzi za Mwalimu, wanasahau kuna miaka 26 tangu alipong'atuka. Huo ni umri wa kijana kuwa ameshamaliza chuo kikuu. Udini utausikia pale tu rais atamteua muislam, regardless ya how qualified he/she is, na asipokua muislam utaona kimyaa hata kama ana questionable qualifications, because that is the "status quo" in their minds.... Wanasahau they are stuck in the past. Very pathetic!
 
Mi ningekua Dr. Dau nisingekubali kuachia uDG NSSF kwa ajili ya uCEO TRA... Maana itakua ni DEMOTION!
<br />
Nani kakwambia TRA inaongozwa na CEO ?
TRA ni mamlaka(Authority) na inaongozwa na Commissioner General,RITA ambayo ni wakala(agency) ndio uongozwa na CEO , kwahiyo sio hamna demotion kabisa
 
Suala la kujiuliza ni je hao wanaopendekezwa (Dau na Nyoni) wanauelewa wa kiasi gani wa mambo ya kodi (fiscus)? Post nyingine ni hatari sana kuweka watu kisiasa. Kama nakumbuka vema, Kitillya na mtanguilizi (Sanare - RIP)
wake wote walikuwa ni ma guru wa mambo ya kodi. Placius Luoga (deputy CG wa sasa) kwa nini hatajwi kama possible/likely candidate?
 
Apumzike kwa amani ila ameua vipaji vya wafanyabiashara chipukizi na kukumbatia wawekzaji. Ameharibu nchi, Kaua uchumi, Tax planning butu, kila siku wanaongeza asilimia za kodi bila kuanzisha vyanzo vipya vya kodi. Bora asingekuwepo hali ya maisha ya wafanyabiashara ingekuwa afadhari
 
Apumzike kwa amani ila ameua vipaji vya wafanyabiashara chipukizi na kukumbatia wawekzaji. Ameharibu nchi, Kaua uchumi, Tax planning butu, kila siku wanaongeza asilimia za kodi bila kuanzisha vyanzo vipya vya kodi. Bora asingekuwepo hali ya maisha ya wafanyabiashara ingekuwa afadhari

Nyange! Good, very good yaani umeingia ndani ya akili yangu hakika poverty kubwa iliopo sasa imeletwa na watu wasiofikiri na kujuwa hali halisi ya Watanzania na hili ndilo kosa kubwa ambalo nchni yetu chini ya CCM inafanya kila kukicha hatuna wataalam wanaojuwa na kufikiri juu ya masikini wa kitanzania, wafanyabiashara wadogowadogo na hata wakulima wadogodogo waliopo vijijini, ambao ndio watu waliowengi katika nchni yetu.

Ebu angalia hii staili ya kodi mpya ya magari, ni ajabu kuwa TRA wameshindwa kujuwa kuwa hiyo kodi inawalenga na kuwaathili watanzania wadogo wadogo tu na peke yako, maana waliobaki wote, hadi wawekezaji wa nje wanapata examption!
 
Mimi siami kama Dr Dau ni mdini (kama inavyosemwa)...lakini hata hivyo nimekuwa najiuliza mara kadhaa kwa nini anatajwa sana hasa ukizingatia kuwa kuna ma CEO wengi tu wenye dini inayofanana na Dr Dau lakini wao husikii wa kitajwa sana kama ilivyo kwa Dr Dau. Inawezekana ana maadui wengi labda (lakini hata kama ni hivyo bado swali la kwa nini yeye tu linabakia).

Mkuu kama umewai kupita pita ndani ya ofisi za serikali ya Tanzania utakuwa unalijuwa hili hakuna watu waliooza kama watumishi wa Umma kwa ujumla wao, ukisikia wanamsifia mtu andika katika note book huyo mtu ni bomu wa kutupa. wao wanaita mshikaji, hana noma!
 

Mkuu kama umewai kupita pita ndani ya ofisi za serikali ya Tanzania utakuwa unalijuwa hili hakuna watu waliooza kama watumishi wa Umma kwa ujumla wao, ukisikia wanamsifia mtu andika katika note book huyo mtu ni bomu wa kutupa. wao wanaita mshikaji, hana noma!

Okay, nimekusoma 'katikati ya mistari'!
 
So JK has to find a permanent replacement for Jairo and Kitilya and at some point he needs to replace the past retirement age Luhanjo.... That's a lot of key positions to fill. Is there enough talent in the public service.
 
Mimi siami kama Dr Dau ni mdini (kama inavyosemwa)...lakini hata hivyo nimekuwa najiuliza mara kadhaa kwa nini anatajwa sana hasa ukizingatia kuwa kuna ma CEO wengi tu wenye dini inayofanana na Dr Dau lakini wao husikii wa kitajwa sana kama ilivyo kwa Dr Dau. Inawezekana ana maadui wengi labda (lakini hata kama ni hivyo bado swali la kwa nini yeye tu linabakia).

Mi naamini kabisa hizo tuhuma zinatokana na kile chungu alichokalia pale NSSF. Sidhani kama kuna any other DG amekalia such a lucrative pot.
Maana kwenye scandals hawampati, kwenye perfomance ndio kabisaa, sehemu iliyobaki very unfortunately ni kwenye dini yake.

Halafu inawezekana vilevile haoni aibu kujitambulisha kuwa ni muislam. Kama ulivyoona picha za sabasaba iliyokua siku ya ijumaa nayeye akavaa kanzu na koti kwa vile anasali ijumaa. Ni sawasawa Jumapili ingekua a working day, halafu watu wakatazamwa kwa kuhudhuria kwao misa takatifu.
 
Back
Top Bottom