Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,627
Snitch = Mtu anayesemelea wengine au kutoa siri upande m'moja kupeleka upande mwingine pinzani.Once a in snitch, always a snitch. Akiiacha familia ili awe na familia na wewe unajihakikishia vipi kuwa hatokuacha siku moja kuwa na familia nyingine?
Halafu hiyo familia yenu wote mna akili za kufanana mkubaliane na ndoa ya aina hiyo?
Mkuu umetumia neno snitch hapa kumaanishaje sijakuelewa?!
Au ulitaka kusema neno adulterer au cheater?!