Magufuli ameshaonesha ni kwa kiasi gani atakuwa mbabe na dictator.
Hivi kuwaomba watu wahamishe nguvu kutoka kwa wananchi kwenda kwa Magufuli!
Sasa hapa akishakujiona kuwa amepora nguvu ya umma atawajibikaje kwa watu aliyewanyang'anya madaraka?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.