Gospel Preacher
JF-Expert Member
- Jan 17, 2018
- 233
- 263
Habari zenu watu wa Mungu, kama kichwa kinavyojielezea hapo juu, Anatafutwa mtaalam wa lugha hususan ya English na Swahili kwa lengo la kutranlate kitabu Cha Kiswahili to English.
Vigezo:
1. Awe na uelewa mzuri wa lugha ya kiswahili na Kiingereza
2. Awe na ujuzi wa matumizi ya Computer na speed ya kuandika.
3. Awe na akili timamu na mtu anaefahamika kwa makazi maalumu.
4. Ajue kusoma na kuandika
Mawasiliao.
0655112023
Vigezo:
1. Awe na uelewa mzuri wa lugha ya kiswahili na Kiingereza
2. Awe na ujuzi wa matumizi ya Computer na speed ya kuandika.
3. Awe na akili timamu na mtu anaefahamika kwa makazi maalumu.
4. Ajue kusoma na kuandika
Mawasiliao.
0655112023