Transformer ya Lowassa PPF Tower

izihaka

Member
Jan 25, 2008
16
7
Huwezi ukaamini ndugu yangu kumbe Lowassa alianza haya mambo siku nyingi na ndio sabab Nyerere alikuwa hamtaki. Inasemekana Lowassa aliagiza transformer iweke pale PPF Tower pasipo ridhaa ya wenye jengo wa Tanesco ili ihudumie dry cleaner ya mtoto wake!Hivi jamani jk haoni kuwa yuko na mtu ambaye alikataliwa siku nyingi????????? huyu jamaa hana sifa za kuwa kiongozi mwadilifu kwani hata richmond yumo pia. he began long ago messing with tanesco
 
Huwezi ukaamini ndugu yangu kumbe Lowassa alianza haya mambo siku nyingi na ndio sabab Nyerere alikuwa hamtaki. Inasemekana Lowassa aliagiza transformer iweke pale PPF Tower pasipo ridhaa ya wenye jengo wa Tanesco ili ihudumie dry cleaner ya mtoto wake!Hivi jamani jk haoni kuwa yuko na mtu ambaye alikataliwa siku nyingi????????? huyu jamaa hana sifa za kuwa kiongozi mwadilifu kwani hata richmond yumo pia. he began long ago messing with tanesco
Aisee
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom