Transcend Vs Seagate

God'sBeliever

JF-Expert Member
Sep 1, 2015
5,790
3,019
Habari za asubuhi wakuu, Heri ya mwaka mpya 2017.
Natumani sikukuu inaenda salama kabisa.
Ni vyema kabla ya kufanya manunuzi kuchunguza kwanza vitu/vifaa husuka unavyonunua kama vinakidhi kiwango.

Ninataka kununua external storage kwaajili ya kuweka data zangu sehemu salama kwa sababu kwenya computer sio salama sana wazungu wanasema "Things happens" so huwezi jua hivyo basi ni vyema kuchagua sehemu ya kuhifadhi data zako ili tatizo lolote likitokea kwa computer yako usipoteze data.

Zipo njia za kuweka online ila sizipendelei sana kwa sababu nigharama mno, kuweka zaid ya GB500 sio mchezo, mfano google drive wanatoa hadi 15GB bure ukizidisha lazima ulipie sasa hapo sio mchezo ni gharama kubwa sana bora tuu kununua kifaa chako ukitunze offline na uki access mda wowote pia encrypt na funga kwa password ili kikipotea kisiweze kutumika popote labda wafute data zote.


Sasa naombeni mnijuze kati ya transcend na seagate external storage device ni bidhaa gani bora kwa -Kutokudhuruka na physical shock hata kikidondoka kifanye kazi vizuri tuu
- Hakifi hara nikiwa na maana uweze kukitumia mda mrefu pasipo drawbacks yoyote
-Software problem kama ku collapse, au virus activity hawakiathiri.

Natanguliza shukrani kwa mchango wenu.
Nawakilisha.
 
Sikushauri kabisa kuhifadhi kununua transcend imefia kifo cha natural death, sina hamu nayo, nimepoteza vitu vingi maana nilikuwa naifadhi kwenye hiyo external hard drive. Nunua Seagate na kama huto jali file zako muhimu fungua account nyingi iwezekanavyo google ili upate kuhifadhi cloud files naona kama ndiyo kuna usalama zaidi, kuliko hizo external hard drive, maana kuna kuibiwa, damages nk.
 
Sikushauri kabisa kuhifadhi kununua transcend imefia kifo cha natural death, sina hamu nayo, nimepoteza vitu vingi maana nilikuwa naifadhi kwenye hiyo external hard drive. Nunua Seagate na kama huto jali file zako muhimu fungua account nyingi iwezekanavyo google ili upate kuhifadhi cloud files naona kama ndiyo kuna usalama zaidi, kuliko hizo external hard drive, maana kuna kuibiwa, damages nk.
Mkuu kupandisha zaid ya GB500 sio kitu kidogo nini kilifanya hiyo transcend ikaharibika??
 
TE="big gift, post: 19120140, member: 367083"]Mkuu kupandisha zaid ya GB500 sio kitu kidogo nini kilifanya hiyo transcend ikaharibika??[/QUOTE]
Natural death, inamaana ilijifia tu, hakuangua wala niseme nili plug arafu ikaover heat hapana. Nilikuwa nikimaliza kutumia na unplug, siku ilivyo kufa siku amini, asubuhi na plug nakuta haisomi, nikajaribu tena na tena wapi! nikajaribu kuzima computer na kuwasha, habari ikiwa vile vile. Nikampelekea jamaa mmoja tukabadirisha cable hadithi ikawa ile ile. Ndiyo ikawa mwisho wake. Kifupi imekufa kifo ambacho hata mimi kimenishangaza.
 
TE="big gift, post: 19120140, member: 367083"]Mkuu kupandisha zaid ya GB500 sio kitu kidogo nini kilifanya hiyo transcend ikaharibika??
Natural death, inamaana ilijifia tu, hakuangua wala niseme nili plug arafu ikaover heat hapana. Nilikuwa nikimaliza kutumia na unplug, siku ilivyo kufa siku amini, asubuhi na plug nakuta haisomi, nikajaribu tena na tena wapi! nikajaribu kuzima computer na kuwasha, habari ikiwa vile vile. Nikampelekea jamaa mmoja tukabadirisha cable hadithi ikawa ile ile. Ndiyo ikawa mwisho wake. Kifupi imekufa kifo ambacho hata mimi kimenishangaza.[/QUOTE]
uliitumia muda gani?? vipi computer yako haikua na virus?? ulijaribu labda kuitest kwa OS nyingine kama linux au mac?
 
That's inevitable kwani karibu vyote ikiwemo Original ni made in China ila zinakuwa na warranty
aisee kama una maujanja nipe nniweze kutambua seagate au wd fake maana nataka ninunue hizo moja kati yake
 
mkuu jifunze kitu kinaitwa RAID, unaweka HDD mbili kwa pamoja inakuwa HDD moja na kila kilicho kwenye hdd moja kinakuwa cloned na kuekwa hdd nyengine, hapa ikiharibika moja basi ya pili inakuwa na data zote, japo ni expensive sababu ni HDD mbili ila ni njia ya uhakika.

pia fahamu zile external ni internal zinavishwa cover hivyo unaweza kwenda dukani ukanunua mpya lets say 1tb kwa 100,000 ukaivisha cover.

brand nzuri mkuu ni Hitachi sema ni ngumu kuzipata bongo, kila siku nazikuta ndani ya thinkpad na nina laptop yenye hitachi toka 2011 ipo fresh pia survey mbali mbali online zinaonesha hivyo
drive-stats-2016-q1-failure-by-mfg-100661450-large.jpg


toshiba, western digital na seagate pia wanajitahidi kiasi chao, tofauti na hapo hao wengine sifahamu
 
Wenye ="kasimba123, post: 19121422, member: 22984"]hiyo ilokufa jaribu kwa linux. waweza pia peleka kwa kampuni zikarecover hizo data[/QUOTE]
Asante mkuu nikajaribu kufanya hivyo, kama ilivyo nishauri
 
mkuu jifunze kitu kinaitwa RAID, unaweka HDD mbili kwa pamoja inakuwa HDD moja na kila kilicho kwenye hdd moja kinakuwa cloned na kuekwa hdd nyengine, hapa ikiharibika moja basi ya pili inakuwa na data zote, japo ni expensive sababu ni HDD mbili ila ni njia ya uhakika.

pia fahamu zile external ni internal zinavishwa cover hivyo unaweza kwenda dukani ukanunua mpya lets say 1tb kwa 100,000 ukaivisha cover.


Nimekusoma mkuu chief mkwawa thanks for info

brand nzuri mkuu ni Hitachi sema ni ngumu kuzipata bongo, kila siku nazikuta ndani ya thinkpad na nina laptop yenye hitachi toka 2011 ipo fresh pia survey mbali mbali online zinaonesha hivyo
drive-stats-2016-q1-failure-by-mfg-100661450-large.jpg


toshiba, western digital na seagate pia wanajitahidi kiasi chao, tofauti na hapo hao wengine sifahamu
 
basi mkuu sio mbaya nikaagiza ebay hiyo kitu hitachi au kwa website yao kama paypal yupo basi nitachukua kwao ili niwe na amani zaid nisijeuziwa clone
hdd hazitaki kugongwa gongwa usafiri wetu huu wa posta wakiipack vibaya tu ni tatizo
 
Ninazo Transcend 3 mbili za 500 GB na Moja 1T. Hazijawahi niangusha ila Seagate ilikufa baada ya kuchomoka USB wire ikiwa Ina play clip. Na data zote za 500 GB zilipotea.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom