Senator jr
JF-Expert Member
- Apr 3, 2016
- 367
- 495
Wakuu yani kwa kaz ninazozifanya inanifanya nakua active sana..
1 mara moja kwa siku haina haja ya bangi wala pombe..
1 mara moja kwa siku haina haja ya bangi wala pombe..
Mwepesi balaa hii kidonge sijui wameiekea nini..Unakuwaje ukiimeza?
Eti mkuu ni dawa ya nn plz tell meeDrug addiction
Eti mkuu ni dawa ya nn plz tell mee
Wakuu yani kwa kaz ninazozifanya inanifanya nakua active sana..
1 mara moja kwa siku haina haja ya bangi wala pombe..
jitahid kuepukana na hiyo makituEti mkuu ni dawa ya nn plz tell mee
Wewe unapata wapi Tramadol wakati ni Prescription Only Medicine?
Atakua alishaachandugu yangu nakushauri acha labla hayajakukuta yaliyonikuta. tramadol sio nzuri kabisa mwenzio nimepata dependance inasumbua sana unaamka asubuhi kama una homa lkn ukisha meza tu unapona sasa kuwa makin sana . afu kuna kipindi yenyewe inakuletea homa inayengeneza sumu flan mwilin inakuwa kama inakuunguza acha kabla hujafika hatua niliyo nayo mimi nimeitumia tangu 2017. acha ndugu yangu sio nzuri kabisa na ukishupaza shingo utakuja kuniambia siku moja maana hata mimi niliambiwa leo hii nalia
Mkuu usikatishwe tamaa...we endeleza libeneke...vp ina msaada kwene yale mambo yetu?Wakuu yani kwa kaz ninazozifanya inanifanya nakua active sana..
1 mara moja kwa siku haina haja ya bangi wala pombe..
mkuu side effect yake ni drug dependenceWakuu yani kwa kaz ninazozifanya inanifanya nakua active sana..
1 mara moja kwa siku haina haja ya bangi wala pombe..