Train ya kwanza ya TAZARA iliyobeba chakula cha Zimbabwe yaanza safari, Tanzania Hoyee

joto la jiwe

JF-Expert Member
Sep 4, 2017
26,117
46,613


Hii ni kudhihirisha kwamba, Tanzania ni tegemeo la nchi zote katika ukanda huu, wakati huohuo mauzo ya mchele kwenda Rwanda, Uganda na Kenya yameongezeka Mara dufu mwaka huu.

Kutokana na kuongezeka kwa uzalishaji wa chakula mwaka huu, na kuendelea kupungua kwa mavuno kwa nchi za Kenya, Malawi, Zambia, Msumbiji na Zambia, Tanzania inategemea kuuza chakula zaidi mwakani.

NCHI YA MAZIWA NA ASALI.
 
Donor Country Kwenye Viwango Vyake
Tanzania Ni Pazuri Sana Nchi Ya Asali
 
Nchi nzuri sana hii bahati mbaya tu CCM kumejaa mataahira!
 
Sasa kwa hali hiyo ya kusafirisha mahindi, tutaifikia kweli hiyo Tanzania ya viwanda? Nadhani mjipange kusafirisha unga unaokidhi viwango vya kimataifa! badala ya kusafirisha hizo "raw materials" ambazo mnanunua kwa wakulima kwa bei ya chini na hivyo kuifanya sekta ya kilimo kuendelea kubakia kuwa duni.
 
Kwa taarifa tu sembe imepanda bei sana..

Kutoka 23 elfu mpaka elf 30.

Mchele nao umepanda maradufu.
 
Kwa taarifa tu sembe imepanda bei sana..

Kutoka 23 elfu mpaka elf 30.

Mchele nao umepanda maradufu.
Lima na wewe ndugu ili usinunue vitu kwa bei kubwa, sasa unataka nani alime achakae na matope shambani halafu aje akuuzie chakula kwa bei unayotaka wewe
 
Inapendeza... ngoja tuone...

Ila tunapenda sifa... wahanga wetu wa humu humu nchini tunawaongelea mbovu, ila nje tunapeleka chakula...



Cc: mahondaw
 
Gunia la mahindi kwa sehemu nyingi za Tanzania ni zaid ya Tsh 80,000/=

Mwambieni wazungu wanasema " Two heads are better than one head" wakati nampa msemo mwingine wa kizungu sijasahu pia ule msemo wake wa "No free Lunch" bila shaka wanaopelekewa wanafahamu
 


Hii ni kudhihirisha kwamba, Tanzania ni tegemeo la nchi zote katika ukanda huu, wakati huohuo mauzo ya mchele kwenda Rwanda, Uganda na Kenya yameongezeka Mara dufu mwaka huu.

Kutokana na kuongezeka kwa uzalishaji wa chakula mwaka huu, na kuendelea kupungua kwa mavuno kwa nchi za Kenya, Malawi, Zambia, Msumbiji na Zambia, Tanzania inategemea kuuza chakula zaidi mwakani.

NCHI YA MAZIWA NA ASALI.

Mngejua kuwa mwaka huu na ujao njaa itaua watu tanzania wala msingeuza mahindi
 
Zimbabwe au zambia??


Tren ya kwenda zimbabwe imejengwa lin tena


Hii ni kudhihirisha kwamba, Tanzania ni tegemeo la nchi zote katika ukanda huu, wakati huohuo mauzo ya mchele kwenda Rwanda, Uganda na Kenya yameongezeka Mara dufu mwaka huu.

Kutokana na kuongezeka kwa uzalishaji wa chakula mwaka huu, na kuendelea kupungua kwa mavuno kwa nchi za Kenya, Malawi, Zambia, Msumbiji na Zambia, Tanzania inategemea kuuza chakula zaidi mwakani.

NCHI YA MAZIWA NA ASALI.
 
Back
Top Bottom