nanga mstafu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 381
- 648
Nadhani hii ni kama laana ya watu wanaolalamika kuwa kwa nini faini ziwahusu wao tu au magari binafsi huku ya serikali yakitamba yanavyotaka bila kufuata sheria na kuogopwa
Na hii itaendelea sana hadi fairness itakapowekwa kwenye sheria
Na hii itaendelea sana hadi fairness itakapowekwa kwenye sheria