mpalu
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,521
- 870
Muda mfupi uliopita kwenye saa 7:30 mchana askari wa usalama Barabarani( traffic) watatu pamoja dereva wa daladala wamegongwa vibaya na gari katika eneo la kanisani opposite na jengo jipya la NSSF.......ambapo inahofiwa traffic mmoja amefariki hapahapo( damu zilikuwa zinamwagika masikioni na puani) na wengine wawili wamejeruhiwa vibaya pamoja huyo dereva.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajli hiyo .....traffic hao walisimamisha daladala iliyokuwa inatoka mjini kuelekea kijenge na kuanza kumhoji ambapo ilibidi ashuke chini baada ya kupaki gari pembezoni mwa barabara....ghafla gari hilo dogo lillokuwa linatoka mjini (clock tower)lilikuja kwa kasi mahali waliposimama na kuwagonga wote wanne...Dereva aliyesababisha ajali ameshakamatwa palepale eneo la tukio.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajli hiyo .....traffic hao walisimamisha daladala iliyokuwa inatoka mjini kuelekea kijenge na kuanza kumhoji ambapo ilibidi ashuke chini baada ya kupaki gari pembezoni mwa barabara....ghafla gari hilo dogo lillokuwa linatoka mjini (clock tower)lilikuja kwa kasi mahali waliposimama na kuwagonga wote wanne...Dereva aliyesababisha ajali ameshakamatwa palepale eneo la tukio.