nilidhani ndimi peke yangu nimeelewa tofauti. lengo la mada liko wazi! lakini kama sio kusudio, changia maendeleo ya nchi kwa kulipa faini mkuu!Hizi mada za wanao miliki mikoko....
Duhhhh kuna wakati roho inaumaga sana....
umeua!Haya mambo kwa kweli yanaumiza,
Mi siku moja nilipaki mkokoteni wangu wa maji pembeni ya barabara nikaenda kununua bajia kurudi sikuukuta ndo nikaambiwa umevutwa na breakdown.
nilidhani ndimi peke yangu nimeelewa tofauti. lengo la mada liko wazi! lakini kama sio kusudio, changia maendeleo ya nchi kwa kulipa faini mkuu!
Duuu si walikupiga faini ndefu mkuu maana mkokoteni hauna sehemu ya kuufunga kwenye breakdownHaya mambo kwa kweli yanaumiza,
Mi siku moja nilipaki mkokoteni wangu wa maji pembeni ya barabara nikaenda kununua bajia kurudi sikuukuta ndo nikaambiwa umevutwa na breakdown.