Sijawahi kuona hii foleni ya kutoka vingunguti hadi Banana cha ajabu sijamuona hata trafic mmoja akiongoza magari hata kwenye mataa hakuna trafic yoyote.
Magari yamefungana wala hayendi kabisa,yaani hayaendi popote.
Nadhani leo tutakesha hapa barabarani.
Magari yamefungana wala hayendi kabisa,yaani hayaendi popote.
Nadhani leo tutakesha hapa barabarani.