Matope
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 892
- 679
Wakuu,
Kuna shida gani na haya mabasi kila mara ni kupigwa mkono weka pembeni nusu saa au lisaa lizima.
Kama hamtaki wawe wanasafiri futeni vibali vya magari kama ndio hivyo, ni mambo yasio na maana.
Mnachelewesha abiria wasio kuwa na kosa lolote.
Asante
Kuna shida gani na haya mabasi kila mara ni kupigwa mkono weka pembeni nusu saa au lisaa lizima.
Kama hamtaki wawe wanasafiri futeni vibali vya magari kama ndio hivyo, ni mambo yasio na maana.
Mnachelewesha abiria wasio kuwa na kosa lolote.
Asante