Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,638
- 26,049
Sijaelewa.Ila umeelewa......
Sijaelewa.Ila umeelewa......
Kulazimisha lugha usiyoimudu.upi tena?!
Tuvumiliane mkuu, ndio improvement inavyokuja hivyo. Huwa inakuja kwa kujaribu hata ukikosea. Ukikaa kimya kinaisha karibu chote. Na si unajua tena watanzania tunatakiwa tupate exposure maana tumekuwa watu wa kukaa ndani sana kama kuku wa nyama na ndio maana tuna baadhi ya matatizo. Sasa international exposure bila kiingereza ni shida. Tunahitaji kuondoa ushamba.Kulazimisha lugha usiyoimudu.
Kwani ukisema wewe ni Kayumba type kuna tatizo gani?.Unajua unajidhalilisha sana kujifanya unatumia Kiingereza usichokimudu. Unaonekana ni kilaza tu.
Ndio tunazidisha ushamba na ulimbukeni kwa kutumia Kiingereza cha ugoko....Tunahitaji kuondoa ushamba.
Kwa hiyo jamaa yako hajakosea sio? Humsaidii kwa kumkingia kifua.Kwani ukisema wewe ni Kayumba type kuna tatizo gani?.
Tena wakikukamata wanakwambia tunakukopesha
Wew lugha unayoimudu ni kimakonde tu.Kulazimisha lugha usiyoimudu.
Lugha haiashirii maarifa ya mtu hata kiswahili anaweza kosea.Unajua unajidhalilisha sana kujifanya unatumia Kiingereza usichokimudu. Unaonekana ni kilaza tu.
Usikomenti kama huishi Tz. makosa mengi niyakutafutiza. Wengi wao wanakuwa wamepewa Target na maboss wao hivyo lazima akomae afikishe lengo la mkubwa. Na jambo jingine magari mengi niya wananchi wa kawaida ambao wanaungaunga tu hivyo unakuta gari zao zina mapungufu ya hapa na pale. Kwa mfano unakuta kioo cha gari kime crack tu kidogo faini. Tairi umeweka Limeanza kuonesha kipara faini. Yaani kwa kifupi makosa mengine niya kumuonya dereva lakini wao wanakomaa na faini tu.Fuata sheria wewe uone kama utapigwa fine
Usitetee ulimbukeni.Lugha haiashirii maarifa ya mtu hata kiswahili anaweza kosea.
Hiyo ni faini kwa watenda makosa haiwezi kuwa Benki mkuuDuh! Kama kuna kaukweli fulani hivi. Trafiki imegeuka kuwa kitengo cha mapato kiunyang'anyi fulani hivi.
Duh! Pole sana mkuuHata ukifuata sheria utakandamizwa tu. Hivi majuzi nilisimamishwa na traffic. Baada ya kukagua kwa dk 10 na kukuta kila kitu kiko sawa, ghafla akasema leather ya seat yako imechanika! Nikaandikiwa faini ya elf 30. Baada ku-protest akasema kama unaona umeonewa twende kituoni. Nilikuwa Nina haraka nikaona uchukue tu ile ticket ya fine.!
Ivi umesoma unaelewa mtoa mada analalamikia nini? Au umekomenti tu unachojiskia?Ni sis wenyewe tulipiga kelele kuwa trafic wawe wanatumia mashine badala ya vile vitabu , na hoja ilikuwa kwamba askari hao walikuwa wanatafauna fedha hizo, sasa kilio kimesikika , tumeletewa mashine za TRA na fedha zinaingia moja kwa moja serikalini tunalia tena?
That is fine mkuu not Bank or Financial Institution and it was passed by our Parliament. It was meant for criminals like you who do not obey the country's laws. Please dont commit crimes then you will be safe!Ninamuomba gavana wa BOT aisajili benki hii ili benki kuu waweze kuisimamia (TPC Bank plc)!
Charging you a bill of 30,000 they will take an interest of another 30,000 just within a month. Mind you, even the loan sharks wouldn't charge an interest of 100% for a month. They would charge a maximum of 30% within a month.
So this is a bank where with a loan book of 9Bilion, they would create an interest income of another 9Bilion within a month. Potentially this is a bank which can create a principal of 100Bilion per year together with an interest of another 72B within a yr, out of a thin air. They create something out of nothing!
This is a corporate greed of a highest degree and no any gvt in a World which likes it citizen can do this, believe me. This is something you can not do even to your worst enemy...
At this interest rate, the citizens who owns vehicles as a means to easy transport are punished and tormented in their own country, at a level which is far above the sinners in hell.
Mb.wa weweFuata sheria wewe uone kama utapigwa fine
With your poor english, supporting thé hypocris. MfyuuThat is fine mkuu not Bank or Financial Institution and it was passed by our Parliament. It was meant for criminals like you who do not obey the country's laws. Please dont commit crimes then you will be safe!