Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,276
- 18,350
Uko sahihi mkuu.Hivi 2000,5000 ni rushwa kweli??? Unajua wakubwa wa wakubwa wa wakubwa wao wanakulaga kiasi gani??? Ndo maana ukaambiwa ya kubrush viatu maana sidhani hata kama inamnunulia mlo ashibe.
Naumiaga mno nikiwaona wanapigika juani na hapo ukute boss anahesabu yake kila siku
Kama hatupendi rushwa tuanze kupigia kelele hawa wajuu maana wanakula kuliko hizi 2000 zinazotupigisha kelele.
Kuna wakati sisubiri hata nipigwe mkono, kama niko kweye foleni yupo karibu namtoa hata ya maji. 2000 au 5000 haifilisi pochi
Kuna mizee inakula nchi kupitia makaratasi huko maofisini, tena rushwa zao ni millions
Trafiki kwa mshahara gani tunaomlipa mpaka asile rushwa hizi laki mbili au hela gani? Watu wanalipwa 11m kwa mwezi kazi yao kupiga makofi kwenye meza.
Trafiki hajaumbiwa kuteseka, kuna mijitu inakwepa kodi baada ya siku mbili iko kwenye orodha ya matajiri Tanzania.