Traffic na rushwa:tufanye kitu gani kukomesha ama tuache Hali Kama ilivyo

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,555
44,729
Sikuelewa Kwanini rais wa awamu ya Tano(RIP) alitamka hadharani kwamba wapewe hela ya ku brush viatu.hayo yamepita je sisi Kama jamiiforum member tumeonyesha mchango gani katika kudhibiti Hili suala maana Sasa imekuwa waziwazi kabisa hiki kitengo Cha barabarani hawana aibu wanapewa hela na madereva kuanzia 1000,2000,5000 na kuendelea.sijui madereva na nyie huwa mnatoa hio hela kwa sababu gani unakuta anasimamisha gari halafu hawaongei chochote Bali lugha Ni kaposho kidogo..Sasa nahoji Kama Serikali yetu imeshindwa kutolea hili Jambo tamko na imeishia kupiga piga tu mikwara juu juu sisi tunaamuaje je kuna haja tuanzishe kampeni maalumu yenye lengo la kupaza sauti Zaidi pengine rais wetu wa Sasa mama Samia ataliongelea au tuache tu maisha yaendelee Hawa maofisa wa Serikali waendelee kupoozwa na madereva maana isije kuwa abiria wenyewe na madereva wanaona sawa halafu sisi tukajifanya kimbelembele mwisho wa siku wabongo wakaishia kutuchora tu.
 
Rushwa inabidi uibomoe kuanzia juu.
Watu wakionyeshwa advertise kiongozi mkubwa aliyeko serikalini ameadhibiwa vikali kwa rushwa, watajua kweli watu wanaichukia.

Sio kazi rahisi kuitokomeza, lakini inaweza kupungua. Rushwa ichukiwe hadi kwenye ngazi ya familia huku chini.
 
Rushwa inabidi uibomoe kuanzia juu.
Watu wakionyeshwa advertise kiongozi mkubwa aliyeko serikalini ameadhibiwa vikali kwa rushwa, watajua kweli watu wanaichukia.

Sio kazi rahisi kuitokomeza, lakini inaweza kupungua. Rushwa ichukiwe hadi kwenye ngazi ya familia huku chini.
Aliyekua anatakiwa atoe huo mfano wa kuwaadhibu vikali kwa rushwa yeye ndiye aliyekua anatoa pesa za kuwanunua wapinzani na kuwaahidi ma vyeo.
 
Hivi 2000,5000 ni rushwa kweli??? Unajua wakubwa wa wakubwa wa wakubwa wao wanakulaga kiasi gani??? Ndo maana ukaambiwa ya kubrush viatu maana sidhani hata kama inamnunulia mlo ashibe.
Naumiaga mno nikiwaona wanapigika juani na hapo ukute boss anahesabu yake kila siku
Kama hatupendi rushwa tuanze kupigia kelele hawa wajuu maana wanakula kuliko hizi 2000 zinazotupigisha kelele.
Kuna wakati sisubiri hata nipigwe mkono, kama niko kweye foleni yupo karibu namtoa hata ya maji. 2000 au 5000 haifilisi pochi
 
Rushwa inabidi uibomoe kuanzia juu.
Watu wakionyeshwa advertise kiongozi mkubwa aliyeko serikalini ameadhibiwa vikali kwa rushwa, watajua kweli watu wanaichukia.

Sio kazi rahisi kuitokomeza, lakini inaweza kupungua. Rushwa ichukiwe hadi kwenye ngazi ya familia huku chini.
Nlicmnt hiyo hapa

Ova
 
Umekamatwa ubaendeaha gari hujavaa mkanda, leseni yako umeisahau nyumbani, umevaaa sendo, n.k

Option ni 2

1. Lipia elf 30 (inaongezeka 7,500 kila wiki ukichelewesha)

2. Lipia elf 2 au 5 mmalizane.

Nijitese nini mie, Huwa nawapa elf 5 yanaisha fasta.

Ila pia kama unataka kuondokana na hizo kero basi na wewe hakikisha upo full, vaa mkanda, una leseni, kadi ya gari, bima, fire extinguisher, triangle lights, n.k hapa watakuzoea kabisa hawakusimamishi ovyo, ila wakijua tu una matatizo flani utatoa sana hizi 5k
 
Sikuelewa Kwanini rais wa awamu ya Tano(RIP) alitamka hadharani kwamba wapewe hela ya ku brush viatu.hayo yamepita je sisi Kama jamiiforum member tumeonyesha mchango gani katika kudhibiti Hili suala maana Sasa imekuwa waziwazi kabisa hiki kitengo Cha barabarani hawana aibu wanapewa hela na madereva kuanzia 1000,2000,5000 na kuendelea.sijui madereva na nyie huwa mnatoa hio hela kwa sababu gani unakuta anasimamisha gari halafu hawaongei chochote Bali lugha Ni kaposho kidogo..Sasa nahoji Kama Serikali yetu imeshindwa kutolea hili Jambo tamko na imeishia kupiga piga tu mikwara juu juu sisi tunaamuaje je kuna haja tuanzishe kampeni maalumu yenye lengo la kupaza sauti Zaidi pengine rais wetu wa Sasa mama Samia ataliongelea au tuache tu maisha yaendelee Hawa maofisa wa Serikali waendelee kupoozwa na madereva maana isije kuwa abiria wenyewe na madereva wanaona sawa halafu sisi tukajifanya kimbelembele mwisho wa siku wabongo wakaishia kutuchora tu.
Ule ni mnyororo wa kuimarisha chama
 
Hivi 2000,5000 ni rushwa kweli??? Unajua wakubwa wa wakubwa wa wakubwa wao wanakulaga kiasi gani??? Ndo maana ukaambiwa ya kubrush viatu maana sidhani hata kama inamnunulia mlo ashibe.
Naumiaga mno nikiwaona wanapigika juani na hapo ukute boss anahesabu yake kila siku
Kama hatupendi rushwa tuanze kupigia kelele hawa wajuu maana wanakula kuliko hizi 2000 zinazotupigisha kelele.
Kuna wakati sisubiri hata nipigwe mkono, kama niko kweye foleni yupo karibu namtoa hata ya maji. 2000 au 5000 haifilisi pochi
Watakufungulia kesi ya uchochezi
 
Kabla hujafikiria kukomesha Rushwa za 2000,5000 na 10000 jiulize kwanza, je wakiacha kupokea Rushwa wakatembeza faini kwa mujibu wa sheria utaweza kuendesha gari lako?
Kila akibeti mkeka 30,000/= kwa kila kosa wenyewe tunaita mechi.

Ukibetiwa mechi tatu tuu huna hamu na hili wese lilivyopanda aseee.


Aseee trafiki ndio askari wanaoongoza kuwatetea wanyonge hapa nchini tofauti na kikosi chochote cha jeshi la polisi.
 
Sikuelewa Kwanini rais wa awamu ya Tano(RIP) alitamka hadharani kwamba wapewe hela ya ku brush viatu.hayo yamepita je sisi Kama jamiiforum member tumeonyesha mchango gani katika kudhibiti Hili suala maana Sasa imekuwa waziwazi kabisa hiki kitengo Cha barabarani hawana aibu wanapewa hela na madereva kuanzia 1000,2000,5000 na kuendelea.sijui madereva na nyie huwa mnatoa hio hela kwa sababu gani unakuta anasimamisha gari halafu hawaongei chochote Bali lugha Ni kaposho kidogo..Sasa nahoji Kama Serikali yetu imeshindwa kutolea hili Jambo tamko na imeishia kupiga piga tu mikwara juu juu sisi tunaamuaje je kuna haja tuanzishe kampeni maalumu yenye lengo la kupaza sauti Zaidi pengine rais wetu wa Sasa mama Samia ataliongelea au tuache tu maisha yaendelee Hawa maofisa wa Serikali waendelee kupoozwa na madereva maana isije kuwa abiria wenyewe na madereva wanaona sawa halafu sisi tukajifanya kimbelembele mwisho wa siku wabongo wakaishia kutuchora tu.
Sitetei rushwa kwakuwa najua madhara yake hasa kwenye utoaji haki.
Lakini tutazame motive ya suala la rushwa kwa trafiki.

Tuanze kwa kujiuliza ugumu wa mazingira ya kazi hususan jiji la Dsm, joto kali, vumbi na jua kali.

Sasa tutazame mshahara wa huyo trafiki ambao wengi ni rank to file Constable Basic salary yake haivuki 500K. Take home yake ina range kwenye 400K.

Tutazame kwa mlengo huo huo mtu ni Sajini wa Polisi, Salary yake Basic haizidi 800K take home haitozidi 700K.
Mtu huyo ana familia, watoto wanasoma, wakati mwingine amepanga, kijijini kwao kuna msururu wa ndugu anawasapoti.

Mtu huyu akipata 30 to 50K per day ni fedha nyingi sana ambazo zinazidi salary yake mara mbili au tatu.

Sisi sote tunahitaji maisha mazuri, kuna watu hudhani wao ndo wanahitaji maisha mazuri, wanalipana maposho ya mavazi, furniture, usafiri, mawasiliano n.k

Kwahiyo trafiki ndo yuko Tanzania kuwa msindikizaji? Serikali iboreshe maslahi ya watu wake ili tupate uhalali wa kuwalaumu. Kuna watu kwenye taasisi za umma huko mtu wa kawaida kabisa salary yake 3m. Ana access ya kukopa 100m+
Hii nchi sio ya watu baadhi ni yetu sote
 
Back
Top Bottom