charger
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 2,320
- 1,369
Jamaa kakamatwa barabarani na trafic kazidisha speed
DEREVA:Kunatatizo lolote mkuu?
POLICE:Umezidisha speed mheshimiwa
DEREVA:Ehh! kumbe
POLICE:Naomba leseni yako
DEREVA:Ningekuwanayo ningekupa,sina mkuu
POLICE:Eti huna leseni?
DEREVA:Niliipoteza kwa kuendesha huku nakunywa
POLICE:Nipe kadi ya gari
DEREVA:Nayo sina mkuu
POLICE:Kwanini?
DEREVA:Hii gari nimeiba na mwenye gari nimemwua,yupo kwenye buti kama unataka kumwona
Polisi kajivuta nyuma hatua chache kapiga simu kituoni,ndani ya dakika 5 gari za polisi zimelizunguka lile gari.
POLICE 2ereva toka nje ya gari.Yule jamaa akatoka
DEREVA:Kuna tatizo lolote afande?
POLICE 2:Askari wangu kanipigia simu unagari la wizi,na umemwua mwenyegari umemweka kwenye buti hebu fungua buti
Dereva kafungua buti na hapakuwa na kitu.
POLICE2:Hili gari ni lako?
DEREVA:Ndio afande kadi yake hii hapa
Polisi2:Kashikwa na mshangao baada ya kuona kadi ya gari
POLICE 2:Leseni yako iko wapi?
Dereva kaingiza mkono mfukoni katoa leseni
DEREVA:Hii hapa afande
Polisi 2 kashikwa na mshangao tena,
POLICE2:Haya asante bwana mkubwa, askari wangu aliponipigia kaniambia,una gari la wizi,umemwua mwenye gari na huna leseni
DEREVA:Halafu nahisi tu huyo mshenzi atakua amekudanganya kwamba nilikuwa naendesha kwa speed kubwa
DEREVA:Kunatatizo lolote mkuu?
POLICE:Umezidisha speed mheshimiwa
DEREVA:Ehh! kumbe
POLICE:Naomba leseni yako
DEREVA:Ningekuwanayo ningekupa,sina mkuu
POLICE:Eti huna leseni?
DEREVA:Niliipoteza kwa kuendesha huku nakunywa
POLICE:Nipe kadi ya gari
DEREVA:Nayo sina mkuu
POLICE:Kwanini?
DEREVA:Hii gari nimeiba na mwenye gari nimemwua,yupo kwenye buti kama unataka kumwona
Polisi kajivuta nyuma hatua chache kapiga simu kituoni,ndani ya dakika 5 gari za polisi zimelizunguka lile gari.
POLICE 2ereva toka nje ya gari.Yule jamaa akatoka
DEREVA:Kuna tatizo lolote afande?
POLICE 2:Askari wangu kanipigia simu unagari la wizi,na umemwua mwenyegari umemweka kwenye buti hebu fungua buti
Dereva kafungua buti na hapakuwa na kitu.
POLICE2:Hili gari ni lako?
DEREVA:Ndio afande kadi yake hii hapa
Polisi2:Kashikwa na mshangao baada ya kuona kadi ya gari
POLICE 2:Leseni yako iko wapi?
Dereva kaingiza mkono mfukoni katoa leseni
DEREVA:Hii hapa afande
Polisi 2 kashikwa na mshangao tena,
POLICE2:Haya asante bwana mkubwa, askari wangu aliponipigia kaniambia,una gari la wizi,umemwua mwenye gari na huna leseni
DEREVA:Halafu nahisi tu huyo mshenzi atakua amekudanganya kwamba nilikuwa naendesha kwa speed kubwa