T2015CCM
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 7,931
- 987
Jioni hii mataa ya veta hapa sheli ya oil com traffic wamempiga notification dereva aliyekuwa na abiria kwenye gari ndogo private yenye namba za usajili T135 AMU toyota korola kwa kosa la kuzidisha abiria wakati gari hiyo ilikuwa na watu wazima watatu na watoto wadogo wawili.
Dereva huyo hakuwa na pesa cash ikabidi aanze kupiga simu kwa ndugu zake wamtumie pesa, traffic wakakasirika eti anawapotezea muda...unyama ulioje wakatoa upepo matairi yote ya mbele gari ili dereva asitoroke,,je huu ni uungwana?? Hii ndio sheria ya usalama barabarani kwa traffic kutoa upepo kwenye matairi ya magari ya watu?
Najaribu kuweka picha inagoma, nitaiweka si mda.
my take: vitendo vya namna hii kwa mlinzi wa roho na mali za raia vinasababisha chuki kwa utawala uliopo madarakani...huu sio utu.
Dereva huyo hakuwa na pesa cash ikabidi aanze kupiga simu kwa ndugu zake wamtumie pesa, traffic wakakasirika eti anawapotezea muda...unyama ulioje wakatoa upepo matairi yote ya mbele gari ili dereva asitoroke,,je huu ni uungwana?? Hii ndio sheria ya usalama barabarani kwa traffic kutoa upepo kwenye matairi ya magari ya watu?
Najaribu kuweka picha inagoma, nitaiweka si mda.
my take: vitendo vya namna hii kwa mlinzi wa roho na mali za raia vinasababisha chuki kwa utawala uliopo madarakani...huu sio utu.