maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,050
- 14,931
Yaani badala ya kusaidia kupunguza jam hizi taa hapa ITV junction zimeongeza kero aisee sijui nini wataalam wetu wameshindwa kutatua. Kwanini hata wasingewaza magari ya kutokea upande wa ITV yanayoelekea mwenge yakazungukie bamaga? Na Yanayotoka bamaga kuingia Mikocheni yakaingilie mwenge? Mbona ni jirani sana? Kama ubungo magari ya kutoka mawasiliano yanazungukia kijazi kwenda mwenge why hapo ITV hamjafanya hivyo badala yake mmeongeza jam?