Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,346
Hivi majuzi kule mkoani singida maeneo ya kibaoni barabara ya kuelekea dodoma kuliibuka kikundi cha wahuni wakiwa katika bajaji moja .
Kikundi hiki kilimkuta traffic mmoja kwenye maeneo hayo akiwa ktk kazi na kumchukua kwa nguvu na kumfunga kamba kisha kutokomea nae kuelekea ziwa kindai lililopo hapo singida mjini.
Kufuatia tukio hilo ndipo watu wakaanza kuifuatilia bajaji hiyo kuelekea ziwa kindai huku polisi wakiwa tayari informed.
Kikundi hiki cha wahuni kilipofika ziwani kilianza process ya kumtupia ziwani traffic, mara paap askari hao wakawa wamefika maeneo hayo.
Ndipo vijana hao wakatokomea kusikojulikana.
Lakini pia inasemekana hapo singida kuna kikundi cha vijana wa kiume huvaa nguo za kike ( hijab) kwa lengo la kutekeleza uhalifu mkoani humo.
Hivyo jeshi la polisi kuweni makini na vijana hawa wahuni ambao wanataka kutuletea mabaraa kwenye nchi yetu.
Kikundi hiki kilimkuta traffic mmoja kwenye maeneo hayo akiwa ktk kazi na kumchukua kwa nguvu na kumfunga kamba kisha kutokomea nae kuelekea ziwa kindai lililopo hapo singida mjini.
Kufuatia tukio hilo ndipo watu wakaanza kuifuatilia bajaji hiyo kuelekea ziwa kindai huku polisi wakiwa tayari informed.
Kikundi hiki cha wahuni kilipofika ziwani kilianza process ya kumtupia ziwani traffic, mara paap askari hao wakawa wamefika maeneo hayo.
Ndipo vijana hao wakatokomea kusikojulikana.
Lakini pia inasemekana hapo singida kuna kikundi cha vijana wa kiume huvaa nguo za kike ( hijab) kwa lengo la kutekeleza uhalifu mkoani humo.
Hivyo jeshi la polisi kuweni makini na vijana hawa wahuni ambao wanataka kutuletea mabaraa kwenye nchi yetu.