Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa hapa jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania (Traffic Engineers) eti;
Ni vigezo gani vya kitaalam huzingatiwa na engineers katika kufanya maamuzi ya kufunga "traffic lights" au kuweka "roundabout" kwenye makutano ya barabara za mijini?
(1) Kama kigezo ni upatikanaji wa umeme, mbona Dar umeme upo karibia sehemu nzima ya jiji na bado kuna round abouts?
(2) Kama issue ni wingi wa magari, mbona maeneo ya city center kama vile mtaa wa Samora, Sanamu ya askari kuna gari nyingi na bado hakuna traffic lights?
NINAOMBA KUELIMISHWA: Ni vigezo gani huzingatiwa katika kufanya maamuzi haya?
NB: Kwanini "traffic lights" zisiwe na remote controllers ili kuipunguzia kazi mikono ya askari? Wataam wa ICT hapo DIT kwani hili haliwezekani?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Ndugu zangu watanzania (Traffic Engineers) eti;
Ni vigezo gani vya kitaalam huzingatiwa na engineers katika kufanya maamuzi ya kufunga "traffic lights" au kuweka "roundabout" kwenye makutano ya barabara za mijini?
(1) Kama kigezo ni upatikanaji wa umeme, mbona Dar umeme upo karibia sehemu nzima ya jiji na bado kuna round abouts?
(2) Kama issue ni wingi wa magari, mbona maeneo ya city center kama vile mtaa wa Samora, Sanamu ya askari kuna gari nyingi na bado hakuna traffic lights?
NINAOMBA KUELIMISHWA: Ni vigezo gani huzingatiwa katika kufanya maamuzi haya?
NB: Kwanini "traffic lights" zisiwe na remote controllers ili kuipunguzia kazi mikono ya askari? Wataam wa ICT hapo DIT kwani hili haliwezekani?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.