Unakuta mnasimamishwa barabarani mnasubiri msafara saa nzima na Zaidi. Je, Hamna mawasiliano na wanaohusika kuendesha misafara ya viongozi?
Haiwezekani mtuweke mabarabarani, tunashindwa kuendelea na Majukumu ya kujenga nchi.
Yaani mtu mmoja anasimamisha shughuli za watu wengi.
Mnajua hasara isababishwayo na huo muda wa kusubiri?.
Haiwezekani mtuweke mabarabarani, tunashindwa kuendelea na Majukumu ya kujenga nchi.
Yaani mtu mmoja anasimamisha shughuli za watu wengi.
Mnajua hasara isababishwayo na huo muda wa kusubiri?.