TradeMark East Africa (TMEA), Yafanyia Makubwa Tanzania Kupitia TWCC, Yadhamini Wafanyabiashara Wanawake Zaidi ya 200 Kushiriki Maonyesho ya 77

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,441
113,450
Wanabodi,
Kwanza angalia, kisha ndio tuzungumze






Hii taasisi ya TradeMark East Africa, (TMEA), ambayo siku zote imekuwa ikifanya mambo makubwa kimya kimya, imeendelea kufanya makubwa nchini kwetu Tanzania. Safari hii kupitia Chama cha Wafanyabiashara Wanawake Tanzania, wamewachukua wanawake wafanya biashara zaidi ya 200, wakawapiga semina elekezi ya jinsi ya kufanya biashara, wakawapaisha mpaka nchini China, kwenda kuwaonyesha wanawake wenzao wa Kichina wanafanya nini, kisha wakawarudisha nchini, wakawapa mafunzo ya kutengeneza bidhaa bora, wakawapatia nembo za ubora za TBS na Barcode, na kuwapa mitaji ya kuanzisha biashara, kisha wakati wa maonyesho ya Saba Saba, wakawadhamini kuonyesha bidhaa zao, ambazo sasa zina ubora wa kimataifa, na hawakuishia hapo, sasa wanawasaidia kuzitangaza bidhaa hizo, na kuzitafutia masoko ya kitaifa na kimataifa. Watanzania sijui tupewe nini?.

Soma na kushuhudia mambo ya TIMEA kupitia TWCC

TWCC-TMEA Feature 2 on Nipashe.jpg


Mungu Awabariki Sana Hawa Jamaa
TWCC-TMEA Story on Nipashe leo.jpg
Juhudi za TWCC Ziungwe Mkono.png
TWCC-TMEA Story on Majira leo.jpg
TWCC-TMEA Guardian 2.jpg
TMEA TWCC News story on Daily News  1.jpg
TMEA TWCC Feature Story on The Guardian.jpg
 
Je hao akina mama ni daraja gani ni hawa wa chini au wazito? Maana bongo fursa kama hizi unazisikia baada na siyo kabla.
Wanawake wafanyabiashara wadogo wanaofanya ujasiriamali wa kuzalisha bidhaa ndogo ndogo za matumizi ya kawaida, huko China, kiwanda ni just a backyard. Mfano huwezi amini, Tanzania mpaka hapa ninapoandika, hatuzalishi toothpick, tuna import kutoka China!.
P
 
Je hao akina mama ni daraja gani ni hawa wa chini au wazito? Maana bongo fursa kama hizi unazisikia baada na siyo kabla.
Na yawezekana ndivyo ilivyo kuwa, watu wameweka ndugu zao tunakuja kusikia baada yaishi kuisha.
 
Wanabodi,
Kwanza angalia, kisha ndio tuzungumze






Hii taasisi ya TradeMark East Africa, (TMEA), ambayo siku zote imekuwa ikifanya mambo makubwa kimya kimya, imeendelea kufanya makubwa nchini kwetu Tanzania. Safari hii kupitia Chama cha Wafanyabiashara Wanawake Tanzania, wamewachukua wanawake wafanya biashara zaidi ya 200, wakawapiga semina elekezi ya jinsi ya kufanya biashara, wakawapaisha mpaka nchini China, kwenda kuwaonyesha wanawake wenzao wa Kichina wanafanya nini, kisha wakawarudisha nchini, wakawapa mafunzo ya kutengeneza bidhaa bora, wakawapatia nembo za ubora za TBS na Barcode, na kuwapa mitaji ya kuanzisha biashara, kisha wakati wa maonyesho ya Saba Saba, wakawadhamini kuonyesha bidhaa zao, ambazo sasa zina ubora wa kimataifa, na hawakuishia hapo, sasa wanawasaidia kuzitangaza bidhaa hizo, na kuzitafutia masoko ya kitaifa na kimataifa. Watanzania sijui tupewe nini?.

Soma na kushuhudia mambo ya TIMEA kupitia TWCC

View attachment 1967962

Mungu Awabariki Sana Hawa JamaaView attachment 1967963View attachment 1967969View attachment 1967970View attachment 1967971View attachment 1967972View attachment 1967974

Kiukweli kabisa, huyu mtu aliyeifanya kazi hii, akitokea kuja kuchaguliwa kuwa Mwakilishi wa Tanzania ndani ya EALA, you can just imagine atafanya nini!. Kama amaweza kufanya yote haya akiwa just a journalist, akitokea akawa mbumbe wa kitu kama EALA, si Tanzania itapaa?. Au mnasemaje wanabodi?.
P
 
Back
Top Bottom