Tractor linauzwa aina ya Massy ferguson model 158 lipo sinza shule ya mapambano kwa maulizo zaid piga 255778481958 au ni pm
tractor lenyewe ilo hapo juu
Massey nyingi huwa ni 240 , 160, 175, 180, 270, 290 nakuendeleaya naomba unipe bei ya model 240 kama unayo yupo mteja naomba unitafute kwa no. 0787139327
Massey nyingi huwa ni 240 , 160, 175, 180, 270, 290 nakuendeleaya naomba unipe bei ya model 240 kama unayo yupo mteja naomba unitafute kwa no. 0787139327
Samahani mkuu ninaweza kupata trecta kwa shilingi milioni kumi? Kama unajuwa jinsi ya kunisadia naomba tuwasiliana kwa no.0787 139327 ninafanya kazi ila nataka kuanza kilimo
Nina program ya kufunguwa kiwanda cha kukamuwa mafuta ya alizeti pamoja na kusaga nafaka najuwa trecta litanisadia sana kwa kuzalisha malighafi huko kijijini na kuleta hapa mjini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.