blacksamurai
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 379
- 592
Trekta lipo Morogoro mjini(nanenane), lipo katika hali nzuri sana. Unaruhusiwa kuja kulikagua. Ni 4wd na ni 75hp. Unauziwa pamoja na jembe lake.
Bei ni 36m. Mazungumzo yanaruhusiwa. Namba za mawasiliano ni 620 559595
View attachment 1938540
Bei ni 36m. Mazungumzo yanaruhusiwa. Namba za mawasiliano ni 620 559595