Tra

Mtized one

Member
Jul 27, 2011
46
7
TRA waliitalini watu 4 interview.....na gazeti gani walitoa names za waliokua short listed?
Tafadhali mnijuze...
 
kwani vipi mukulu wamekuzunguka nini maana unaonekana kama ulipewa ahadi ya kuitwa
 
hivi wewe bado unaamin tra kuna interview?utangoja milele na utakufa bila kelele.pale ni wewe mtoto wa nani,huyu turikuwa nae primary na ongeza dau kidogo.mia
 
Bado sijapata jibu,
1)when was interview?
2)Short listed walitoka kwenye gazeti gani?
3) Wameanza lini kazi,

Sio kwamba niliaply au kuhitaji kaz bt kuna utafiti naufanya juu ya hizi gvt agencies na wizara juu ya ajira zao tusaidiane kuondoa urasimu...nipeni info wadau.
 
Back
Top Bottom