- Thread starter
- #21
Hapo ukiwa free tembelea ofisi zao then utapata makusanyo katika kila kipengele eg. VAT, income tax, property.....Katuka makusanyo Property Tax ni kiasi gani?
Hapo ukiwa free tembelea ofisi zao then utapata makusanyo katika kila kipengele eg. VAT, income tax, property.....Katuka makusanyo Property Tax ni kiasi gani?
Hivi JpM anajua kuwa ameshamaliza one year.. Bado anakomaa na kukusanya kodi huku akiwa kasahau kutengeneza vyanzo..
Ajira
Viwanda hewa...
Anaweza kujikuta hata asimfikie JK kwa viwanda
Kabla ya Jakaya?Hakuna Rais yeyote wa kabla ya Jakaya aliyemfikia Jakaya kwa lolote na hadi hii leo bado Jakaya anashikilia rekodi adhyim katika kila nyanja.
December watafika 1.5T kwa kuwa ni mwisho wa mwaka
Kabla ya Jakaya?
Hadi hii leo?
Unganisha tu twende sambamba