Ngwanashigi Gagaga
JF-Expert Member
- Mar 10, 2017
- 430
- 300
Nashukuru mkuu kwa kuwa umetambua umuhimu wa Sera za CCM kwa watoto maskini kwenye bold kwa Elimu kugharimiwa na Serikali ya Awamu ya Tano!Darasa nilijenga mwaka 2014 kabla ya wapenda sifa kuingia madarakani, na darasa halikuvuka 6m, nililipa vijana wakachoma matofali, pickup yangu ikabeba hayo matofali. Mbao za kupaua zilikuwa za mnazi bei karibu na bure. Water tank la lita 5,000 nilinunua kwa 720,000, kusafirisha pamoja na guter, gharama nzima mpaka kulifunga haikuzidi 800,000. Na sasa nawasaidia wanafunzi 10, 7 wakike na watatu wavulana uniforms na madaftari, maana elimu ni bure. gharama zote hizo hazifiki 1m. Inaonekana hujui bei za vitu boss. milioni 40 ni nyumba self contained yenye room 3 za kulala na garden ya kuweka mbogamboga. water tank la shilingi 2m ni la lita 10,000.