Uzalendo sio chama ni hullka binafsi ya mtu. Ufisadi pia sio chama ni tabia na tamaa za watu wachache walopewa madaraka. Na watu hao wako kila chama, kila dini, kila kabila. Ndio maana wale wajiitao wana demokrasia (isiyokuwepo hata chembe), walifuta agenda ya ufisadi baada ya kuwa mwambata na fisadi papa.1. kama haipo kwenye sera ya CCM inakuwaje, ESCROW,KAGODA, MEREMETA,RADA, NETPROOF,MIKATABA MIBOVU, nk inakuwaje vilitokea na wahusika wapo na wanajulikana na wengine ni wafadhiri wa chama, wengine wabunge kupitia chama husika lakini hakuna hatua walizochukuliwa??..
2.IKULU,TRA,TISS.TANROAD, TCRA,TAA,POLISI,TPA,TMAA nk hazina miongozo yakuhakikisha wizi unatokea kifupi kazi yao ni kutenda majukumu yao kulinda maslahi ya taifa na wizi usitokee, - walishindwaje kulinda maslahi ya Taifa na wizi ukatokea? kifupi walishindwa kutekeleza majukumu tuliowapa hivyo wanastahili adhabu.
3. Kwanini waliweza kutudanganya na hapa ni kwetu, madini ni yetu na serikali ni yetu?.. Kama waliweza kutudanganya na tukaingia mkenge na wakatutia hasara kubwa - kuna haja gani ya Taifa hili kuwa na Serikali sasa kama mtu anaingia kienyeji na kufanya atakalo?..
4. Uzalendo hauhisiwi, Uzalendo ni vitendo pale muhusika anapokuwa sehemu husika, ni wapi tuliwaamini tukawapa nchi wapinzani wakashindwa kuonyesha uzalendo wao?, Wazee wetu waliamua kumuamini Nyerere na kumpa nchi wakiwa hawajui kama ni mzalendo au sio, kwa bahati hakuna kipimo cha uzalendo duniani kwa mtu ambaye hujampa nafasi ya kuonyesha uzalendo wake, kiuhalisia walioshirikiana na ACACIA kwa 90% wako CCM maana ndio waliokuwa na mamlaka na mamlaka ya kusaini mikataba ya hovyo ambayo leo tunaipigia kelele na kujiita wazalendo tunapoipigia kelele..Kati ya hao na Chama kilichopo madarakani ni nani anakusanya hela nyingi??? na je ameweza kutatua matatizo muhimu toka 1961???
duh!.very saadNimeishia kucheka tu
Kampuni haijasajiliwa ila inapokea assessment ya kodi. Kampuni hewa ila TRA wana data zao.
Acacia Mining pays 120 billion/- in corporate tax 2016- Acacia Mining pays 120 billion/- in corporate tax
Kinachoniuma hapa ni kuwa watz tunapumbazwa na propaganda za makinikia wakati kitu pure kinapaa na ndege. Kama kuibiwa ni kweli tumeibiwa na tunaendelea kuibiwa kwa hisani ya usanii wa CCM.
$190billion ni kama 420trilion Tsh. Hii ni budget ya TZ miaka 13. Kama walikuwa wanalipa kodi isiyozidi 10% inamaana hawa jamaa walikuwa wametengeneza zaidi ya $900 billion from Tanzania ndani ya miaka 17. Na hapa acacia ni branch tu ya Barrick. Hii pesa tungekuwa tunalipwa, hivyo basi kodi ya Acacia ingetosheleza kufinance budget yetu ya miaka 13 iliyopita. Yani Watanzania tungekuwa hatulipi kodi wala kuomba mkopo. Yan ni kupokea kodi tu toka acacia na sisi tungekula tu bata. Pia usisahau kuna Migodi mingine mikubwa kama ishirini.
Kumbuka pia acacia ni moja tu ya Gold mine company in Tanzania. Kuna mgodi mikubwa unaomilikiwa na AngloGold& Ashant kama bonge la openi pit lile la "Geita Gold Mine(GGM)' lililoanza operation toka mwaka 2000. Kwa pesa tunayowadai acacia, kama Geita Gold mine nao wangekuwa wanalipa kodi iyo, bac Tanzania ingekuwa na uwezo wa kupokea zaidi ya $15billion kutoka katika iyo migodi miwili tu. Hata budget yetu tungekuwa tunaongelea zaidi ya Trillion 50 kwa mwaka.
Ki uhalisia, GGM kodi yao haifiki $300m kwa mwaka. Mwaka 2013 GGM walipokea award kutoka TRA kwa kuwa the best tax compliance company in tanzania. Ambapo mwaka 2013 walilipa cooperate tax ya $213.8m 123Tanzania Quiz.
Nakumbuka mwaka 2015 GGM walivyopandishiwa kodi kufikia 4% kwa mraba kulikuwa na utata kidogo maana ilikuwa walipe karibu $200m kwa mwamka ila acacia ndyo waliokuwa wakwanza kukubali kulipa ndipo GGM na wengine wakafyata mkia.
Sasa kama GGM kodi yao haifiki $300m, inakuaje Acacia ndyo wanatakiwa kulipa mara 20 yake kwa mwaka? Yani zaidi ya $4b kwa mwaka na hapo bado penalty!!!!!!!!!!
Labda ACACIA uzalishaji wao ni mkubwa kuzidi GGM, Ila probable gold reserves and other resources katika migodi mitatu ya acacia(north Mara, buzwagi na bulyanhulu) haizidi 22m oz. Na average production per year haizidi 700,000 oz per year kutoka kwenye migodi mitatu. Geita gold mine mwaka 2015 iliweza vunja record na kuzalisha 527,000 oz of gold. Ambapo kodi ilikuwa around $200m.
Ikiwa kweli acacia wanatuibia na iyo ndyo pesa wanayopaswa kutulipa, basi hata na GGM wanatuibia sana sambamba na migodi mingine.
Tanzania ni nchi ya 4 duniani kwa kuzalisha Gold. Tanzania imekuwa ikizalisha Gold yenye value isiyozidi $1.5billion kwa mwaka. Ila kwa kodi tu tunayoidai acacia ni kuwa mgodi mmoja uliweza kutoa gold yenye thamani zaidi ya 10b.
Hapa ndipo napozidi kucheka kabisa maana kodi tunayowadai acacia($190b), ingekuwa ndyo sisi tunajichimbia, iyo pesa ingepatikana ndani ya zaidi ya miaka hata 200 baada ya kutoa operation costs.
South Africa ni nchi inayoongoza katika uzalishaji wa Gold. Lakini haijawai zalisha gold yenye value inayofikia $4billion kwa mwaka. Kwa maana hiyo, kwa data wanazotumia TRA, Tanzania inabidi ndyo iwe nchi inayoongoza uzalishaji wa gold na ipewe Guiness Award kwa kuvunja record ya kuzalisha Gold nyingi kiasi kuwa hata dunia nzima haikuwai zalisha.
Mimi elimu yangu ni kadegree kamoja tu. Ila naimani kule TRA kuna mpaka maprofessors. Inamaana hata simple analysis kama hiyo hawawezi fanya?
GOD BRING MY TANZANIA BACK.
Inabidi ifikie atua watu wazima waache kufanya maigizo ya kitoto aseeee. Watanzania sio wajinga to that extent. Huwezi badili million kuwa billion kirahisi hivyo.
Siku chache zijazo tutaanza kuchekwa na kukejeliwa na mataifa mengine kwa upuuzi kma huu unaofanywa na watu wachache na wanaojiita wasomi.
Siku acacia wakilipa hata 10% ya ilo deni, mimi nitatembea uchi toka kibiti hadi kariakoo. I swear.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lllllllllllal0
Kichekesho kwa kudai chetu?Tummekuwa kichekesho dunia nzima sijui watu wanapowaona watanzania huko majuu wanawafikiri vipi anyway all the best doctor.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunawaomba Guinness nao wao fanya research yaoHili deni litaingia kwenye rekodi za dunia.
That's true..TRA wametumia reference za Hotuba na Report za Ile Mi Prof ya Kijamaa kina Prof Mruma kupeleka Tax assessment kwa Acacia!
Kama Acacia tuliambiwa haijasajiliwa inakuaje tunapeleka kadirio kwa Kampuni inayofanya kazi kwa Njia haramu?
TRA wamepeleka hayo Makadirio kujikosha mbele ya Rais wasitumbuliwe lakin hata wao ndani ya nafasi zao au wakiwa kwny Mazungumzo wao kwa wao staff wanajua kabisa hiyo Kodi ni ya kufikirika na Acacia hawana uwezo wa kuilipa hata 25% ya Hilo kadirio!
TRA wajiandae kwenda kwny Tribunal kutetea Mzaha huo wa kikodi
Kabombe bado uko chekechea nini huna chako,nchi yote ilikwishauzwa hata MAGU anajua hilo hatuna chetu nchi you kama huamini subiri mziki wa ACCACIA.Kichekesho kwa kudai chetu?
Walifata nini ikulu na kutoa ahadi ya kulipa kama tuhuma hizo ni kweli? Anyway wamepewa assessment notice ambayo ni sawa na mashtaka kikodi ....waende kupangua hoja ....sheria za kodi si ziko wazi? Tatizo ACACIA wanapiga siasa na kuwachota watu kama nyie. Wale wamekamatwa pabaya ....na hii ikikubalika ni kweli itakuwa mtikisiko dunia nzima na mfumo wa biashara ya madini ....hushangai kwanini wanashindwa kuchukua hatua haraka na kuona kila wito wa serikali ni mtego kwao? Hawachomoki labda JPM awe compromised kitu ambacho si rahisi kihivyo ....
nchi haiwezi uzwa wewe..walouza na wewe unaeshabikia ndo mtawalipaKabombe bado uko chekechea nini huna chako,nchi yote ilikwishauzwa hata MAGU anajua hilo hatuna chetu nchi you kama huamini subiri mziki wa ACCACIA.
Sent using Jamii Forums mobile app
KuteTea chako iwe kutetea mkeo au mumeo asi tombe au Ku tombwa na yeyote huhitaji approval ya jirani awe mkenya or who everTummekuwa kichekesho dunia nzima sijui watu wanapowaona watanzania huko majuu wanawafikiri vipi anyway all the best doctor.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata aibu huoni kisa unapenda chademaKabombe bado uko chekechea nini huna chako,nchi yote ilikwishauzwa hata MAGU anajua hilo hatuna chetu nchi you kama huamini subiri mziki wa ACCACIA.
Sent using Jamii Forums mobile app
If you have ever invested on anything, you know that now is the time to buy Acacia shares when share prices are declining and because Acacia is likely to successfully show that most of the government accusations are false.
Jamani kwa hiki kiasi cha hela wanachodaiwa TRA mnatudhalilisha .Inabidi Tanzania.iwekwe kwa kitabu cha kuvunja record duniani.kwa uzalishaji wa madini amabacho hakijawahi kutokea kuanzia dunia.kuumbwa.Sipendi.wazungu.wanavyotunyonya ila hii kali?Wekeni report zotewazi.tusome na tujue maabara mliotumia vinginevyo hii.ni siasa tu