Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,005
- 9,872
Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) imeripoti kufanikiwa 94.3% katika malengo ya kukusanya Tsh. Trilioni 5.462 kwa robo ya kwanza ya mwaka 2021/22
Taarifa imesema hiyo ni sawa na ukuaji wa 17.4% ambao umechangiwa na ukuaji wa ulipaji kodi kwa hiari hasa kwa wachimba madini na mawasiliano na uchukuzi
Pia kuimarika kwa biashara ya kimataifa baada ya kuchukua hatua ya kudhibiti janga la #COVID19
Taarifa imesema hiyo ni sawa na ukuaji wa 17.4% ambao umechangiwa na ukuaji wa ulipaji kodi kwa hiari hasa kwa wachimba madini na mawasiliano na uchukuzi
Pia kuimarika kwa biashara ya kimataifa baada ya kuchukua hatua ya kudhibiti janga la #COVID19