profkobayashi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 224
- 71
Discuss.
<br />hint:<br />
<br />
Misaada iliyotoka nje ya kusaidia waathirika wa Gongo la Mboto imezuiwa na TRA ambao wanadai VAT....na hii ina include pampers etc<br />
<br />
Something is seriously not right with Kitilya na TRA yake<br />
<br />
kila kitu ni siri haijulikani VAT ni nini na nini na kila kitu kinafanyiwa estimates badala ya kuwa open kwenye website yao
hint:
Misaada iliyotoka nje ya kusaidia waathirika wa Gongo la Mboto imezuiwa na TRA ambao wanadai VAT....na hii ina include pampers etc
Something is seriously not right with Kitilya na TRA yake
kila kitu ni siri haijulikani VAT ni nini na nini na kila kitu kinafanyiwa estimates badala ya kuwa open kwenye website yao
????? Inawezekana wewe ilikuwa ndani ya traDiscuss.