Happy nation
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 679
- 591
Mimi naagiza magari kwa wateja wangu mara kwa mara,ila tumefika sasa hali ni mbaya kifedha na tra wanatukwamisha makusudi,kuna mteja anataka gari thamani hadi da dola 12000 lakini TRA wanasema ni 24000,nikaenda ofisini kwao nikawaambia hii gari mteja wangu anataka lakini thamani yake 12000 website beforward akahakikisha na bado akaniambia nitalipia thamani ya 24000,sasa nauliza kama rais wa jamhuri ya muungano anasema tujifundishe kulipa kodi na huku TRA wanataka kodi isiyo ya halili jee tutafika?sasa mimi ninakosa hela Tra wanakosa hela nchi itafika vipi? Ushahidi huu hapa.