TRA .wanazuia watu wasifanye biashara makisudi.

Happy nation

JF-Expert Member
Apr 19, 2015
679
591
Mimi naagiza magari kwa wateja wangu mara kwa mara,ila tumefika sasa hali ni mbaya kifedha na tra wanatukwamisha makusudi,kuna mteja anataka gari thamani hadi da dola 12000 lakini TRA wanasema ni 24000,nikaenda ofisini kwao nikawaambia hii gari mteja wangu anataka lakini thamani yake 12000 website beforward akahakikisha na bado akaniambia nitalipia thamani ya 24000,sasa nauliza kama rais wa jamhuri ya muungano anasema tujifundishe kulipa kodi na huku TRA wanataka kodi isiyo ya halili jee tutafika?sasa mimi ninakosa hela Tra wanakosa hela nchi itafika vipi? Ushahidi huu hapa.
SmartSelectImage_2016-12-18-09-12-50.png
SmartSelectImage_2016-12-18-09-15-01.png
 

Attachments

  • SmartSelectImage_2016-12-18-09-12-50.png
    SmartSelectImage_2016-12-18-09-12-50.png
    61.2 KB · Views: 46
Hiii nchi ngumu sana yaani hawa tra wanafanya isiwe pahali salama kwa kuishi aisee yaan huwa hawaelew kabisa, kingine nahisi hapo kunamtu anataka kitengeneza mazingira ya rushwa
 
Pole mkuu kwa upande wangu naamini sera za kuagiza "luxury goods" kutoka nje zinakua na gharama hiyo ili kupunguza uwiano wa biashara (balance of trade- import vs import)

Mathali kwa uzoefu wangu, Benz ukilinganisha name magari mengine ya ujerumani yana gharama kubwa sana ya ushuru. Kalinganishe na BMW au Audi zilizo tengenezwa 2009 kama 5 series au Audi A5 zitakua chini sana.
 
Unawalaumu TRA bure haya ni maelekezo kutoka juu wafikie lengo kila mwezi kwa namna yeyote ile
 
--hopeless / ili mradi kukomoana tu../
GARI SIO ANASA / NI USAFIRI,ILA KWA AFRICA NI ANASA.../
#LINI_TUTASTAARABIKA?
 
Mimi sijui tra lengo lao nn...kama ni kukusanya tu kodi bila kuja huyo unayemkusanya kodi hali yake vp kibiashara basi ipo siku watakusanya mawe badala ya pesa. nimeamua kufunga maduka yangu mawili nimeamua hela yote kununua ngombe karibia 88 hivi nikatupia shambani lkn yote hiyo nimeamua kufanya sababu ya makodi ya tra. Kulipa kodi ni jambo jema sana lkn wekeni uwiano mzuri kati ya biashara ya na anachostahili kulipa.
 
Back
Top Bottom