Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,234
Wanajamvi salaam,
Tumekuwa tukitangaziwa na TRA kuwa TIN number ni bure kumbe ni uongo TRA ferry wamekuwa wakiwachaji watu wanaotaka Taxpayers Identification Number (TIN) kuna ndugu yangu wamemtoza 110000.
Je hii ni nchi nzima? Na kwanini TRA wadanganye umma? Kama ni kweli bure TRA Ferry wachukuliwe hatua kali za kisheria maana huu ni ubadhilifu.
Tumekuwa tukitangaziwa na TRA kuwa TIN number ni bure kumbe ni uongo TRA ferry wamekuwa wakiwachaji watu wanaotaka Taxpayers Identification Number (TIN) kuna ndugu yangu wamemtoza 110000.
Je hii ni nchi nzima? Na kwanini TRA wadanganye umma? Kama ni kweli bure TRA Ferry wachukuliwe hatua kali za kisheria maana huu ni ubadhilifu.