Kodi ni story ndefu and I am tired for now.mtu anakwepa kodi sababu ni masikini
Tatizo hapa ni umasikini....
TRA wana matatizo sana. Wanasema eti audit haina kikomo. Wanajua utakuwa huna dicuments kwahiyo wanataka kupitia hapoHii imekaaje wadau. Hapa tunaulizana mbona wameanzia kote huko. Shida ni nini?
Mi najua sheria ni miaka mitano nyuma.
Wataalamu tuelimishane, maana nina mpango wa kuwabishia wakija kukagua.
Nitumie namba zao niwashauri kitu hao jamaaHii imekaaje wadau. Hapa tunaulizana mbona wameanzia kote huko. Shida ni nini?
Mi najua sheria ni miaka mitano nyuma.
Wataalamu tuelimishane, maana nina mpango wa kuwabishia wakija kukagua.
Siyo mara zote ni hivyo, jifunzeni kuwa straight kwenye biashara.May be, ila nadhani motive halisi hapo ni kutaka kupewa rushwa
Hii imekaaje wadau. Hapa tunaulizana mbona wameanzia kote huko. Shida ni nini?
Mi najua sheria ni miaka mitano nyuma.
Wataalamu tuelimishane, maana nina mpango wa kuwabishia wakija kukagua.
Nchi hizo zinajitambua siyo mapoyoyo kama TzNa wanaponunua hizo bidhaa awapewi risiti?
Business accounts inatumika vipi
Mambo ni mengi nikisema nioredheshe utaratibu wa huku kijijini kwetu.
Tax ni sheria na kila nchi ina zake naona tume chukua mambo kadhaa ya kidunia Ila ata applications zake kwetu lege lege.
Lakini uhalisia ukisema records keeping ni story ndefu, TRA awajafikia huko.
Niamini watanzania wakiambiwa utaratibu wa record keeping ya nchi za wenzetu kama Magufuli walimuona shetani mama watamuona mchawi.
Basically ukwepi kodi; hizi nchi za wenzetu unaweza punguza profit TAX na ata ukawadai serikali; lakini VAT ni mziki mwingine hiyo hela wanaitaka.
Sasa nikianza kuweka ivyo vielelezo vyao hapa atumalizi leo; ni vingi basically kukwepa VAT tax ni ugomvi mkubwa na hizi serikali za wenzetu.
upo sahihi. mara nyingi case zinazofanyiwa audit ni zile za walipakodi wakubwaIkitokea hivyo kuna tatizo kubwa. Jinai. Audit yenyewe haifanyiki kwa kila mtu....
Unapewaje tax clearance kama hujalipa kiwango stahiki?Tax clearance inaonesha umelipa kodi a,b,c haina maana kuwa kodi uliolipa ni kiwango stahidi.
Hujui kitu wwHao wanataka rushwa. Ni miaka 3 nyuma
Unaweza. Mfano umejikadiria 2m per quarter. Mwaka ukiisha umeingiza hela inayostahili Kodi 5m per quarter, wakija kudai difference utasema silipi kwasababu mlinipa tax clearance?Unapewaje tax clearance kama hujalipa kiwango stahiki?
Sheria gani hiyo mkuuHao wanataka rushwa. Ni miaka 3 nyuma
Ndiyo umekuja kuandika huku sioHii imekaaje wadau. Hapa tunaulizana mbona wameanzia kote huko. Shida ni nini?
Mi najua sheria ni miaka mitano nyuma.
Wataalamu tuelimishane, maana nina mpango wa kuwabishia wakija kukagua.
Mkuu imekuaje huko?Hii imekaaje wadau. Hapa tunaulizana mbona wameanzia kote huko. Shida ni nini?
Mi najua sheria ni miaka mitano nyuma.
Wataalamu tuelimishane, maana nina mpango wa kuwabishia wakija kukagua.
Snitch bana
Hapo umefurahii mamaeeee
I really wonder how a human being yupo mstari wa mbele kuisaidia serikali chochote kile kuonea human beings wengine kama yeye?
[/QUOTE
]
kama usingekuwa na utundu kwenye record zako usingekuja kuomba rejea huku, hiyo ina onesha una viutundu umevifanya so hapo hauonew bali umejionea mwenyew
halaf kumbuka serikali inaanzia kwako wew kama unataka weka mipaka kati yako na watumishi wetu wa umma ni bora uende Burundi tu mapemaa sie tubakie na Bongo yetu ya mitozo
Mfano kama mwanadamu yeyote yule,umepoteza copies,inakuaje?
Maana copy za hesabu sometimes wakati wa kwenda kuomba leseni mbalimbali wanazitaka,umezitumia zote zimeisha,huna copy,wanakufanyeje?
Kumbuka huyu mtu kaandika mahesabu kakaguliwa na kwenye system ni "closed",what do you say?
Na kingine tuelewane,watanzania wanatakiwa waelewe,serikali sio watanzania,mtanzania yeyote anatakiwa awe upande wa mtanzania mwenzake na sio upande wa serikali right or wrong!
Cha ajabu snitches ni all over the place..sijui serikali ilishawahi wasaidia nini wakati huyo mtanzania mwenzako anakupa ajira,siku huna nyanya unaweza enda mkopa,etc...serikali hivi ilishawahi kujua wanao wameshinda njaa or anything?