TRA wamekuja ofisini kwetu wakitaka kukagua hesabu za 2012 Hadi 2017

mtu anakwepa kodi sababu ni masikini

Tatizo hapa ni umasikini....
Kodi ni story ndefu and I am tired for now.

Ila kumbuka kodi Tanzania aijawahi lalamikiwa na wahindi wala wazungu; isipokuwa wabantu.

Hivi unajuwa Tanzania capital allowance ni 100% unajuwa maana yake kwenye kupunguza kodi na kushwawishi uwekezaji.

Niamini hawa watu awajazoea kulipa kodi; issue ni VAT na hapa kuna shida kwa wajasiriamali wadogo wadogo corner shop shouldn’t have to pay that.

Why so story ni ndefu na ni ujinga kuona TRA wanavyoangaika na frames. Hila kwa watu wenye mitaji mikubwa kukwepa kodi given capital allowance is 100%.

👋
 
Hii imekaaje wadau. Hapa tunaulizana mbona wameanzia kote huko. Shida ni nini?

Mi najua sheria ni miaka mitano nyuma.

Wataalamu tuelimishane, maana nina mpango wa kuwabishia wakija kukagua.
TRA wana matatizo sana. Wanasema eti audit haina kikomo. Wanajua utakuwa huna dicuments kwahiyo wanataka kupitia hapo
 
MimI najua kisheria wanatakiwa wakague miaka mitano kurudi nyuma ,otherwise hapo chini ndion inavyosema anagalia kwenye website ya TRA.So wanatakiwa wakague mahesabu ya 2020,2019,2018,2017 na 2018 tu.

What records should be maintained by a taxpayer?
These documents shall be retained for a period of at least five years from the end of the year of income or years of income to which they are relevant, unless the Commissioner specifies otherwise by notice in writing.

Where any document is not written in an official language of the United Republic of Tanzania, the Commissioner may, by notice in writing, require the individual to provide, at the individuals expense, a translation into an official language by a translator approved by the Commissioner in the notice.
 
Hii imekaaje wadau. Hapa tunaulizana mbona wameanzia kote huko. Shida ni nini?

Mi najua sheria ni miaka mitano nyuma.

Wataalamu tuelimishane, maana nina mpango wa kuwabishia wakija kukagua.
Nitumie namba zao niwashauri kitu hao jamaa

USSR
 
Hii imekaaje wadau. Hapa tunaulizana mbona wameanzia kote huko. Shida ni nini?

Mi najua sheria ni miaka mitano nyuma.

Wataalamu tuelimishane, maana nina mpango wa kuwabishia wakija kukagua.

Hakuna sector ninaichukia na inasumbua wafanyabiashara kama TRA, TANESCO upande wao,,, Viburi vimewazidi hawa viumbe. Kama ni somalia alshabab wangesambaratisha wote hawa.
 
Na wanaponunua hizo bidhaa awapewi risiti?

Business accounts inatumika vipi

Mambo ni mengi nikisema nioredheshe utaratibu wa huku kijijini kwetu.

Tax ni sheria na kila nchi ina zake naona tume chukua mambo kadhaa ya kidunia Ila ata applications zake kwetu lege lege.

Lakini uhalisia ukisema records keeping ni story ndefu, TRA awajafikia huko.

Niamini watanzania wakiambiwa utaratibu wa record keeping ya nchi za wenzetu kama Magufuli walimuona shetani mama watamuona mchawi.

Basically ukwepi kodi; hizi nchi za wenzetu unaweza punguza profit TAX na ata ukawadai serikali; lakini VAT ni mziki mwingine hiyo hela wanaitaka.

Sasa nikianza kuweka ivyo vielelezo vyao hapa atumalizi leo; ni vingi basically kukwepa VAT tax ni ugomvi mkubwa na hizi serikali za wenzetu.
Nchi hizo zinajitambua siyo mapoyoyo kama Tz
 
Mienendo ya biashara yako inatakiwa isiwe na mashaka wape ushirikiano mara nyingi hizi taasisi huwa zinakusanya taarifa kutoka kwenye vyanzo vingi kuhusiana na kukuza taasisi yao.

Jitahidi kuepuka migogoro na wafanyakazi wa kampuni yako maana hao ndio wanaojua kila ukweli wa mambo kwenye hiyo kampuni,unaweza ukafukuza mtu kazi nayeye akaenda kukuchoma
Iwe kwa indirect au direct
 
Sheria inakutaka utoe nyaraka wanazozitaka maafisa wa seriakali wawe watu TRA, NSSF, PSSSF nk as long as walikupa notification watapita mengine hayo mnahojiana tu na kuyajenga acha kuwa muoga
 
Snitch bana

Hapo umefurahii mamaeeee

I really wonder how a human being yupo mstari wa mbele kuisaidia serikali chochote kile kuonea human beings wengine kama yeye?
[/QUOTE
]


kama usingekuwa na utundu kwenye record zako usingekuja kuomba rejea huku, hiyo ina onesha una viutundu umevifanya so hapo hauonew bali umejionea mwenyew

halaf kumbuka serikali inaanzia kwako wew kama unataka weka mipaka kati yako na watumishi wetu wa umma ni bora uende Burundi tu mapemaa sie tubakie na Bongo yetu ya mitozo
 
Mfano kama mwanadamu yeyote yule,umepoteza copies,inakuaje?

Maana copy za hesabu sometimes wakati wa kwenda kuomba leseni mbalimbali wanazitaka,umezitumia zote zimeisha,huna copy,wanakufanyeje?

Kumbuka huyu mtu kaandika mahesabu kakaguliwa na kwenye system ni "closed",what do you say?

Na kingine tuelewane,watanzania wanatakiwa waelewe,serikali sio watanzania,mtanzania yeyote anatakiwa awe upande wa mtanzania mwenzake na sio upande wa serikali right or wrong!

Cha ajabu snitches ni all over the place..sijui serikali ilishawahi wasaidia nini wakati huyo mtanzania mwenzako anakupa ajira,siku huna nyanya unaweza enda mkopa,etc...serikali hivi ilishawahi kujua wanao wameshinda njaa or anything?

kwan serikali inaongozwa na wachina

acha uchochez hiyo sumu unataka ileta bongo hatuitaki

Naipenda nchi yangu na natimiza wajibu kama raia mwema wa Tanzania

Longo longo peleka Burundi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom