Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,251
- 34,198
Kisheria ni hivyo ila mpaka uje kulipwa utakua ushazeeka.Unataka kunambia ukilipa zaidi wanakurudishia??
Kisheria ni hivyo ila mpaka uje kulipwa utakua ushazeeka.Unataka kunambia ukilipa zaidi wanakurudishia??
Shida serikali inaendesha mambo kisiasa sana,Mwaka juzi Magufuli alimwagiza waziri wa fedha wakae na TRA kuwasaidia wafanyabiashara kwa kufumbia mahesabu ya nyuma ili ukurasa mpya ufunguliwe na waanze upya-Na magufuli kwenye ile Bussiness Council alisema hana tatizo kabisa,Leo awamu ya sita inawarudisha wafanyabiashara tena kule kule magufuli alipowatoa,very sadUmeandika ukitetemeka?
TRA wana haki ya kukagua na kujiridhisha document muhimu kwa mwaka wowote ingawa muda wa ukaguzi hufanyika walau ndani ya miaka mitano ingawa siyo kigezo cha kuwazuia kukukagua.
Toa document na onyesha ushirikiano
kupewa tax clearence sio kigezo cha mwisho ndugu yangu.Kama mahesabu yako yalikaguliwa na hiyo miaka na ukapata Tax clearance certificate basi waonyeshe lakini kama hukukaguliwa kaka unalo hilo kaa nao mezani huna namna.
yes, but at least unakuwa na pa kuanzia mazungumzo ndugu.kupewa tax clearence sio kigezo cha mwisho ndugu yangu.
May be, ila nadhani motive halisi hapo ni kutaka kupewa rushwaUmeandika ukitetemeka?
TRA wana haki ya kukagua na kujiridhisha document muhimu kwa mwaka wowote ingawa muda wa ukaguzi hufanyika walau ndani ya miaka mitano ingawa siyo kigezo cha kuwazuia kukukagua.
Toa document na onyesha ushirikiano
Ikitokea hivyo kuna tatizo kubwa. Jinai. Audit yenyewe haifanyiki kwa kila mtu....TRA ina aina tatu tofauti za ukaguzi wa kodi.. kuna examination, audit na investigation. mtu unaweza kufanyiwa examination na bado ukafanyiwa tena audit na baadae muda umepita unashangaa unafanyiwa investigation kwa kesi ileile
Si kushindana. Ni kutoa majibu sahihi. Wahasibu wengi ni weupe, badala ya kumtumia wataalam wakati assessment zimetoka ni bora mapema.kushindana na TRA si jambo dogo, cha msingi wakae meza moja wayaone mapungufu yatakayojitokeza kwenye hiyo miaka kisha wayamalize yanajadilika hayo. Kwanza wawape info zote wanazohitaji hao mabwana then mapungufu yatakayojitokeza wakae mezani - yanajadilika tu.
Kutunishiana misuli na TRA ni shughuli si ya kitoto.
Kabisa, hilo ni tatizo kubwa. Hapo atakaa atakomaa siku assessment imetoka ndo anaanza tafuta mbobezi na mtaaalam.Watanzania huwa hatupendi kutumia wataalamu. Kuna watu wako tayari kujenga nyumba ya 300mil lakini hawapo tayari kumlipa injinia 5mil ili asimamie kazi yake.
Siku ufa ukitokea ndio anatafuta mtaalamu.
Kampuni nyingi ndogo hazina chochote na zina sales karibia 1b per year
hawana chochote
computer zenyewe zina crash kila siku,excel sheet records kila siku zinaanza upya,etc
records zipo,ila sio straight kiivyo
serikali yenyewe karibu 60% ya records zake za matumizi na manunuzi always go missing..ndio private little companies?
Viofisi vya fremu hizi?Hapana
Kwanini wao hawana halafu niwe zazo mimi?Shida iko wapi hapo, si rekodi zinatakiwa za miaka kumi kurudi nyuma. Hapo hata kumi hamjafika (12-21)
Nini maana ya tax clearence? Ilipaswa ukipewa hiyo unaanzia hapo kwenda mbele unless kuna sababu ya msingi sana. Kuna uzembe sana kwenye taasisi ya kodi. Ndo maana nasema wataalam watumike.kupewa tax clearence sio kigezo cha mwisho ndugu yangu.
Tax clearance inaonesha umelipa kodi a,b,c haina maana kuwa kodi uliolipa ni kiwango stahidi.Nini maana ya tax clearence? Ilipaswa ukipewa hiyo unaanzia hapo kwenda mbele unless kuna sababu ya msingi sana. Kuna uzembe sana kwenye taasisi ya kodi. Ndo maana nasema wataalam watumike.
Hapo ndio ujue TRA inaendeshwa kimazoea na si kitaalamu au la watumishi wake wengi ni Vilaza.Nini maana ya tax clearence? Ilipaswa ukipewa hiyo unaanzia hapo kwenda mbele unless kuna sababu ya msingi sana. Kuna uzembe sana kwenye taasisi ya kodi. Ndo maana nasema wataalam watumike.
Ndo maana nasema wataalam watumike. Embu chukua tax certificate uisome halafu pitia sheria ya kodi inasemaje kuhusu haki ya kupewa tax clearence certificate. Ile document haitakiwi kutolewa endapo kuna utata wa kodi.Tax clearance inaonesha umelipa kodi a,b,c haina maana kuwa kodi uliolipa ni kiwango stahidi.
Kabisa, halafu unakaaje na hesabu za mtu miaka 10 hujafanya examination? Baadae unakuja kumpiga interest na penalties kwa makosa yaliyopo ndani ya hesabu.Hapo ndio ujue TRA inaendeshwa kimazoea na si kitaalamu au la watumishi wake wengi ni Vilaza.
Mambo mengine sio utata, ni mahesabu tu yametofautiana. Ukiomba tax clearance unawasilisha tu risiti ulizolipia hata kama hujafanyiwa ukaguzi. Haizuii wao kuja kudai kodi nyingine watakazona wanadai.Ndo maana nasema wataalam watumike. Embu chukua tax certificate uisome halafu pitia sheria ya kodi inasemaje kuhusu haki ya kupewa tax clearence certificate. Ile document haitakiwi kutolewa endapo kuna utata wa kodi.
Hawarudishi. Inafuta kodi ya mbele.Kisheria ni hivyo ila mpaka uje kulipwa utakua ushazeeka.
Hiyo disclaimer ni Sawa, mfano umekadiriwa kodi milioni, ukalipa laki 5... ukaomba clearence utapewa, hapo haimaanishi kuwa laki tano iliyobaki hutalipa na hutadaiwa.Mambo mengine sio utata, ni mahesabu tu yametofautiana. Ukiomba tax clearance unawasilisha tu risiti ulizolipia hata kama hujafanyiwa ukaguzi. Haizuii wao kuja kudai kodi nyingine watakazona wanadai.
Disclaimer: This tax clearance certificate shall not precludethe commissioner general from demand and recovering taxes established after issuance of this crtificate.