Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,800
- 11,961
TRA Wamekanusha Taarifa zilizoandikwa JamiiForums zilizodai Mtandao wao kusumbua.
Wamesema ni taarifa ya Uongo na Uzushi. Kwani imelenga kupotosha na kuleta taharuki miongoni mwa Walipa Kodi pamoja na kuidhalilisha taasisi na Watumishi wake.
Katika kipindi cha mwezi mzima, TRA haikuwa na Hitilafu yoyote.
TRA imewataka Waipa Kodi kuendelea kulipa kodi.
Zaidi, soma; Rais Samia ingilia kati, TRA watatukwamisha
Wamesema ni taarifa ya Uongo na Uzushi. Kwani imelenga kupotosha na kuleta taharuki miongoni mwa Walipa Kodi pamoja na kuidhalilisha taasisi na Watumishi wake.
Katika kipindi cha mwezi mzima, TRA haikuwa na Hitilafu yoyote.
TRA imewataka Waipa Kodi kuendelea kulipa kodi.
Zaidi, soma; Rais Samia ingilia kati, TRA watatukwamisha