Kama. Kuna Mtu anamuelewaga huyu anieleweshe hapa anamaanisha nini. Yaani michango wake kwenye hii thread ni upi.
sent from my BBC using JamiiForums mobile app
CCM haina rafiki wa kudumu muulize Maji, Malinzi, Nape n.kCcm inang'ata kote kote
Sent from my HUAWEI VNS-L21 using JamiiForums mobile app
Hahahaaa! Ferista kurwijila je!OKW BOBAN SUNZU said:Aloyce Nyanda atakula wapi
Wanaumbua wenyewe baada ya biashara kugoma kitaa.Habari wadau!
Nakumbuka wakati wa kampeni kuna mtu alimtangaza mbele ya hadhara kuwa rais akiingia madarakani amlinde Diallo kwani licha ya kuwa mwenyekiti wa chama mkoa alikisaidia chama chake kukitangaza kwenye redio na TV sijui ilikuwa bure au ndo kujikomba.
Cha ajabu baada ya RC wa Dsm kupigwa ban jamaa akamwalika na kumpa live coverage bila hata aibu ila akidhani kuwa ataachwa.
Sasa hii inaonyesha wazi kuwa wafanya biashara wengi wanajificha nyuma ya chama hiki wakiwa na malengo ovu kwa taifa kuanzia wanasiasa walio wafanyabiashara basi ni wazi wako kwa maslai maalum ila sio mapenzi yao.
"Napenda kukuhakikishia. Nitakulinda kwelikweli". (kwa sauti ile).Humo ofisini hizo cd, microphone na viti vitatosheleza deni wanalodaiwa!? Masikini mzee Diallo alikuwa 'ameahidiwa' kutosomeshwa namba lakini sasa kaisoma!
Watu mna siri nzito!!heeee! makubwa hayo.
Kumbe zaidi ya kutokuwalipa watumishi wake mshahara kwa wakati bado alikuwa amelimbikiza kodi!
Ndio maana "mkulu" juzi alivyopita Mwanza walijidai yeye na wenzie kumfuata ikulu ndogo usiku waongee, yeye akawachomoa kuwa sijawaita hapa mie, nahitaji kupumzika!
Kodi kodi tu, ya kaisairi apewe kaisari...hata kama mwenzetu au ni mpenzi wa Wema...duuh hata kwa mwenzetu
Hahaha noma sanaWaende wakavue hata dagaa, ziwa lipo karibu.
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app