- Thread starter
- #581
Ni wachache wanyajua hayo.Tukitaka kusimama imara tuachane na masuala ya dini, Kanisa ndilo lenye wapiga kura wengi tuachane nao wakimlilia Mungu kwa mateso yanayosababishwa na wanadamu watokanao na Mungu hatutabaki salama.
Ni wachache wanyajua hayo.Tukitaka kusimama imara tuachane na masuala ya dini, Kanisa ndilo lenye wapiga kura wengi tuachane nao wakimlilia Mungu kwa mateso yanayosababishwa na wanadamu watokanao na Mungu hatutabaki salama.
Baada ya kuujua ukweli sasa unamkataa!!......ungeendelea kubaki uzidi kunyonyolewa!Mkuu, simfahamu.
Jaribu kuwatembelea kina Kakobe kesho kisha uje utupashe ya huko kama una nafasi. maana sijui wako sehemu gani. Maana tayari wamempa MIDEA promotion ya bure bila malipo.
By the way hujatutajia biashara zake specifically.Kakobe ni mfanyabiashara kama wengine so ni lazima akaguliwe na TRA, na hayo ni matakwa ya sheria!
Kwani wewe unamlipa fungu la kumi kwa biashara gani?!!By the way hujatutajia biashara zake specifically.
Hilo kanisa lake na huyo Kakobe afadhali alilinganishe na saccos ya Chadema!Mtoa mada naona kama umetoka nje ya mstari kidogo kwa kulilinganisha Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume na Vikundi vya harakati za kidini.
Kanisa Katoliki ni TAASISI yenye nguvu hapa Tanzania na Duniani kote.
Ni taasisi yenye Muunganiko wa kidunia, pia ni taasisi yenye kuendesha mambo yake kwa utaratibu maalumu.
Huwezi kulinganisha na Vikanisa vinavyoanzishwa na mtu mmoja, akijipa uchungaji yeye nwenyewe na hatimaye anajipa Uaskofu yeye nwenyewe.
Mtu huyo anakuwa yeye au mke wake au ndugu yake wa karibu ndiyo anakuwa MHASIBU wa kanisa.
Kwa hiyo usilinganishe Kanisa Katoliki(ROMAN EMPIRE) na Vikanisa vya watu binafsi(SACCOS).
Hebu nipe utaratibu kufikia kuwa MTUMISHI wa Mungu.Mtoa mada naona kama umetoka nje ya mstari kidogo kwa kulilinganisha Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume na Vikundi vya harakati za kidini.
Kanisa Katoliki ni TAASISI yenye nguvu hapa Tanzania na Duniani kote.
Ni taasisi yenye Muunganiko wa kidunia, pia ni taasisi yenye kuendesha mambo yake kwa utaratibu maalumu.
Huwezi kulinganisha na Vikanisa vinavyoanzishwa na mtu mmoja, akijipa uchungaji yeye nwenyewe na hatimaye anajipa Uaskofu yeye nwenyewe.
Mtu huyo anakuwa yeye au mke wake au ndugu yake wa karibu ndiyo anakuwa MHASIBU wa kanisa.
Kwa hiyo usilinganishe Kanisa Katoliki(ROMAN EMPIRE) na Vikanisa vya watu binafsi(SACCOS).
Simpi Padri bali namtolea Mungu.Kwani wewe unamlipa fungu la kumi kwa biashara gani?!!
Mungu alikuambia anataka fedha zako?!!Simpi Padri bali namtolea Mungu.
Sasa kumbe wewe ndo maana huelewi huwa unawapa viongozi wako? Pole sana.
Viongozi waku fail si utaumia moyoni?
Naona tuishie hapo.Mungu alikuambia anataka fedha zako?!!
Nje ya mada! Unapotumia msemo wa "opening of Pandora box" unakuwa uko sahihi lakini unaposema "...itakuwa ni vigumu kuja kulifunga tena" unakuwa unakosea coz hakuna msemo wa closing/sealing of Pandora box! Kwenye lugha the least haina connotation/kirejelewa.Wewe umesema YOTE. Mtindo huu ukiachiliwa uendelee basi utafungua Pandora box na itakuwa ni vigumu kuja kulifunga tena.
Nashukuru kwa kuwa umeitambua kweli na hiyo kweli itakuweka huru na kundi la wajinga na wapumbavu, maana hata waswahili wana msemo wao " Wajinga ndio waliwao" so usikubali kuwa chakula cha binadamu mwenzio kwa kisingizio/kivuli cha " uaskofu"..........Jumapili njema mkuu!Naona tuishie hapo.
Shukrani.
Ha! Ha! Ha! Haaaa!Kuna mtu mmoja hapa anauliza utaratibu wa kuwa mtumishi wa Mungu.
Naomba niseme kuwa, mtumishi wa Mungu kwanza anaitwa na Mungu. Kisha anawekwa WAKFU na Mungu kupitia mikono ya watu wengine.
Hata kama wewe ni Daktari bingwa namna gani lakini ukiugua ni lazima akutibu Daktari mwingine. Hivyo utaona kuwa hata Yesu ingawa ni Mungu lakini HAKUJIBATIZA mwenyewe bali alibatizwa na Yohana.
Kwa hiyo kama kweli Kanisa lako ni taasisi huwezi kujipa Uchungaji na Uaskofu wewe mwenyewe.
Kufanya hivyo ni sawa na kujitungia mtihani wewe mwenyewe, kujisajihishia wewe mwenyewe na kujitangazia matokeo ya mtihani huo wewe mwenyewe.
Ndivyo yanavyofanya makanisa ya watu binafsi na ndiyo maana tunayaita SACCOS.
Lakini pia suala la Elimu kwa kiongozi wa Kanisa ni muhimu sana. Katika Dunia ya leo huwezi kuwa kiongozi wa Dini bila kuwa na Elimu angalau kwa kiwango fulani.
Mchungaji kutokuwa na Elimu angalau kwa kiwango fulani hustahili kuitwa MCHUNGAJI bali ni MCHUNGWAJI.
Kwa kawaida huwezi kuchunga kondoo waliokuzidi sana maarifa.
Mchungaji ni lazima awe na maarifa ya kuelimisha watu mambo ya KIROHO na KIMWILI.
Mambo ya KIROHO unaweza kusema umefunuliwa je, mambo ya kuelimisha KIMWILI?
Ili kuwa na Maarifa ya Mambo ya KIMWILI ni lazima uende shule.
Waamini wako wanaweza kuugua kipindupindu kisha wewe mchungaji kwa kukosa maarifa ya KIMWILI ukaanza kuwaaminisha kuwa wana mapepo badala ya kuwapeleka Hospitalini.
Makanisa ya watu wenye akili tangu mwanzo mpaka sasa walikuwa wanajenga KANISA, SHULE na HOSPITAL I.
Wenye akili walijua kuwa hivi vitu vitatu lazima viende sambamba.
Yesu kristu ndo KWELI kando yake hamna kweli nyingine.Nashukuru kwa kuwa umeitambua kweli na hiyo kweli itakuweka huru na kundi la wajinga na wapumbavu, maana hata waswahili wana msemo wao " Wajinga ndio waliwao" so usikubali kuwa chakula cha binadamu mwenzio kwa kisingizio/kivuli cha " uaskofu"..........Jumapili njema mkuu!
Nimekuelewa vizuri sana. Ila ni kuwa hypothetical/ Figuratively ili tu ingie na iingie vichwani mwa wengine!.Nje ya mada! Unapotumia msemo wa "opening of Pandora box" unakuwa uko sahihi lakini unaposema "...itakuwa ni vigumu kuja kulifunga tena" unakuwa unakosea coz hakuna msemo wa closing/sealing of Pandora box! Kwenye lugha the least haina connotation/kirejelewa.
Kweli ya kukuweka huru na manabii wa uwongo!Yesu kristu ndo KWELI kando yake hamna kweli nyingine.
Sijui unapozungumzia neno "Kweli" una maana ya Yesu ama msemo tu uliozoea?
Maana kama ni Yesu aliniweka HURU siku nilipomwamini kama Bwana na mwokozi wa maisha yangu.
Kweli yakoni aina gani mkuu?
Nakubaana nawe. Isipokuwa tusiwahumu.Kuna mtu mmoja hapa anauliza utaratibu wa kuwa mtumishi wa Mungu.
Naomba niseme kuwa, mtumishi wa Mungu kwanza anaitwa na Mungu. Kisha anawekwa WAKFU na Mungu kupitia mikono ya watu wengine.
Hata kama wewe ni Daktari bingwa namna gani lakini ukiugua ni lazima akutibu Daktari mwingine. Hivyo utaona kuwa hata Yesu ingawa ni Mungu lakini HAKUJIBATIZA mwenyewe bali alibatizwa na Yohana.
Kwa hiyo kama kweli Kanisa lako ni taasisi huwezi kujipa Uchungaji na Uaskofu wewe mwenyewe.
Kufanya hivyo ni sawa na kujitungia mtihani wewe mwenyewe, kujisajihishia wewe mwenyewe na kujitangazia matokeo ya mtihani huo wewe mwenyewe.
Ndivyo yanavyofanya makanisa ya watu binafsi na ndiyo maana tunayaita SACCOS.
Lakini pia suala la Elimu kwa kiongozi wa Kanisa ni muhimu sana. Katika Dunia ya leo huwezi kuwa kiongozi wa Dini bila kuwa na Elimu angalau kwa kiwango fulani.
Mchungaji kutokuwa na Elimu angalau kwa kiwango fulani hustahili kuitwa MCHUNGAJI bali ni MCHUNGWAJI.
Kwa kawaida huwezi kuchunga kondoo waliokuzidi sana maarifa.
Mchungaji ni lazima awe na maarifa ya kuelimisha watu mambo ya KIROHO na KIMWILI.
Mambo ya KIROHO unaweza kusema umefunuliwa je, mambo ya kuelimisha KIMWILI?
Ili kuwa na Maarifa ya Mambo ya KIMWILI ni lazima uende shule.
Waamini wako wanaweza kuugua kipindupindu kisha wewe mchungaji kwa kukosa maarifa ya KIMWILI ukaanza kuwaaminisha kuwa wana mapepo badala ya kuwapeleka Hospitalini.
Makanisa ya watu wenye akili tangu mwanzo mpaka sasa walikuwa wanajenga KANISA, SHULE na HOSPITAL I.
Wenye akili walijua kuwa hivi vitu vitatu lazima viende sambamba.
Ahsante kwa kunielewa. Wengine wana unafiki sana. Ni lazima tusifu mahali panapohitajika . Na Tuukosoe mahali pana makosa.We are so stupid kiasi kwamba wanaotuongoza ndio maana wanatukandamiza
Mtoa mada ametahadharisha hiyo victimization ma effects zake mtu anakuja ku discuss structure ya katoliki so alivyofanyiwa kakobe ni sawa?kauli yake then linakaguliwa kanisa zima?