Molleli
Senior Member
- Aug 29, 2020
- 178
- 160
Sio kwamba msikusanye kodi hapana ila Kuna mambo mengi TRA wanafanya ambayo yamekua ni kero kwa wafanya biashara unakuta mtu katoka na mzigo China Ile kutua tu AirPort anakutana na msururu wa TRA apo na wapo serious vibaya mno wanakagua mzigo mmoja baada ya mwingine.
Unakuta mtu kabeba simu Tatu kwajili ya ndugu zake nyumbani ataambiwa azilipie kulingana na makadilio ya bei ya simu husika na moja kwa moja Lazima rushwa itatolewa pale na pesa zinawekwa mifukoni bado ukifika dukani wanakuja Tena kudai kodi.
Hii sio fair kabisa jamani TRA ni jipu kwetu wafanya biashara hasa tunaojumua mzigo kutoka nje ya nchi punguzeni kutubana kwa vitu vidogo vidogo tupate kuwagana ajira na hapo uchumi wa nchi yetu utakua kwa kasi na vijana tutapiga kazi.
Punguzeni tamaa TRA. ASANTENI.
Unakuta mtu kabeba simu Tatu kwajili ya ndugu zake nyumbani ataambiwa azilipie kulingana na makadilio ya bei ya simu husika na moja kwa moja Lazima rushwa itatolewa pale na pesa zinawekwa mifukoni bado ukifika dukani wanakuja Tena kudai kodi.
Hii sio fair kabisa jamani TRA ni jipu kwetu wafanya biashara hasa tunaojumua mzigo kutoka nje ya nchi punguzeni kutubana kwa vitu vidogo vidogo tupate kuwagana ajira na hapo uchumi wa nchi yetu utakua kwa kasi na vijana tutapiga kazi.
Punguzeni tamaa TRA. ASANTENI.