TRA tokeni maofisini kakagueni magari, mengi Mjini hayajalipiwa na mengine yana sticker za bima fake

BASIASI

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
9,735
5,003
Wakati muafaka kuendelea kumsaidia Mh. Rais atimize yale aliyopàngiwa na Mungu.

Ndugu zangu TRA tokeni maofisini nenden mitaan mkakague magari mengi yako mtaani yamekwepa kulipa kodi tena wakishirikiana na baadhi ya wafanyakazi wenu wasio waaminifu.

Tuamke sasa kumsaidia Rais.

La pili, kuna Stickers fake za bima ziko kila kona magari mengi hayana bima halali hili na la polisi tunaomba tuingie mtaani tukapambane kodi zilipwe.

Mkuuu kuna magari ya kulipa kodi mil kumi yamelipa mbili hao ndio tunawatafuta mkuu na soon zoezzi linaanza naamini watafanikiwa


Kuhusu bima hilo utekelezwaji umeanza. Leo na zoezi haya yote yatashirikisha takukuru na vyombo vya dola kuhusu ulaji mhusika ujipange kweli kweli..Kubeba risky......
 
@="BASIASI,
Gari kukwepa kodi siyo rahisi mkuu. Stika za bima feki inawezekana.
 
@="BASIASI,

Yaani wewe tangu ulipozimia kipindi kile cha Uchaguzi mkuu mwaka 2015 ndiyo umezinduka sasa hivi?

Pole sana mkuu ndiyo matatizo ya dunia hayo, I hope unaendelea vizuri sasa ma itakuwa umeshataarifiwa kuwa rais wa sasa wa Tanzania ni Dr. John Pombe Magufuli.

Kingine ni kiwa wengi wameunga mkono juhudi, Dr. Slaa hivi sasa ni Balozi huko Sweden, na Lowasa amesharudi CCM.
 
@="BASIASI,
Mkuu unafikiri kwamba hawajui?Unafikiri kwamba wakienda kukagua ndo zitalipwa?Sana sana wakienda kukagua wakikuta gari za hivo watapata PAKULAMO TENA na maisha yanaendelea.

Kulipa kodi lazima kuhamasishwa kwa viongozi kutumia PESA ZETU VIZURI na SIO KUNUNUA MADEGE NA KUYAPAKI,na KUGAWA MINOTI HOVYO BARABARANI.Wananchi wakiona viongozi wanaheshimu PESA zao na wanaacha kujimwambafy kwamba wao ndio wamefanya na sio kodi zetu zimefanya mbona watu watalipa kodi sana tu.
 
Anamaanisha ushuru unapoingiza gari..
Sidhani kama bima ipo kwenye mamlaka ya TRA. Kwa upande wa kodi hasa motor vehicle ni ngumu sana kukwepa labda gari iwe inatumia maji. Unapoweka mafuta kuna asilimia fulani inakatwa kwa ajili ya motor vehicle.
 
Inakukera nini mtu kuwa na bima fake wakati hata hupandi hilo gari na likipata tatizo anapambana na hali yako hategemei chochote kutoka kwako? Mkuu fanya yako achana na ya watu.
 
Mkuuu kuna magari ya kulipa kodi mil kumi yamelipa mbili hao ndio tunawatafuta mkuu na soon zoezzi linaanza naamini watafanikiwa


Kuhusu bima hilo utekelezwaji umeanza. Leo na zoezi haya yote yatashirikisha takukuru na vyombo vya dola kuhusu ulaji mhusika ujipange kweli kweli..Kubeba risky......
 
tatizo la kuishi in a pithole country,TRA waache kufuatilia kodi mama,waanze kukimbizana na vileseni vya magari,mtoa hoja hilo ulilolisema hapo juu ni kazi ya Traffic na mapato yake yanaingia kwenye serikali za mitaa sio kuu.
 
Inakukera nini mtu kuwa na bima fake wakati hata hupandi hilo gari na likipata tatizo anapambana na hali yako hategemei chochote kutoka kwako? Mkuu fanya yako achana na ya watu.
Hiyo sio hoja mkuu!! Kwani inaonekana hata kazi ya bima kwenye chombo cha moto huijui!!!!! Nani alikwambia kuwa umuhimu wa bima ni kwa yule aliyendani ya chombo tu? Je inaposababisha madhara kwa mtu wa tatu(third party)? Kama bima ni fake atalipwa na nani? Huyo aliyepata madhara?
 
@="mwasu,
Huko nako tunakuja usiwe nashaka hakuna atakaepona mjiandae kukabiliana na foleni kwa ajiki ya maendeleo ya. Nchi yetu kwanza
 
@"mwasu,
Mkuuu hujui il laki tatu ya comprins serikali inamakato yake sasa usipokata bima uoni unamwibia serkl yako mkuu na barabara mnazitaka hosp mnazitaka tunatoa wapi. Hizo hela.....


Magari mengi yana bima fake...Na. Mengi yamekwepa kulipà kodi halali hao. Ndio tunadili naooo na soo. Wah watawanyossha huko barabarani
 
Hiyo sio hoja mkuu!! Kwani inaonekana hata kazi ya bima kwenye chombo cha moto huijui!!!!! Nani alikwambia kuwa umuhimu wa bima ni kwa yule aliyendani ya chombo tu? Je inaposababisha madhara kwa mtu wa tatu(third party)? Kama bima ni fake atalipwa na nani? Huyo aliyepata madhara?
Wewe ndio hunielewi kama mtu kaamua kuishi fake life acha aishi, yakimkuta atajua mwenyewe, mwanakulitafuta mwanakulipa.
 
Sasa hilo swala la bima labda waishie kumshauri mwenye gari washirikiane na tapeli alokata bima fake wamfikishe kwenye vyombo vya sheria,

Lakini wakianza kumsakama mwenye gari itakuwa siyo sawa kabisa,

Chamaana mwenye gari anatakiwa kuisaidia polisi kumpata tapeli mtuhumiwa vinginevyo kuwepo na utaratibu wa kudhibiti hizo bima fake
 
Mleta mada hongera kwa kuonesha uzalendo !

Wewe ni mfano wa Raia wema!

Labda nije na mada ya kuwakumbusha watu somo la Civics,

Wajibu na haki za Raia,

N.k
 
Wewe ndio hunielewi kama mtu kaamua kuishi fake life acha aishi, yakimkuta atajua mwenyewe, mwanakulitafuta mwanakulipa.
Kuwa usimfuatilie mtu kwa kuwa gari hilo halipandi?!!! Na mimi niliyopo njiani akanigonga bima nitalipwa na nani? Na sikuwa ndani ya gari lake? Hoja yako haipo sahihi, ndio maana bima kwenye chombo cha moto sio hiari ni lazima.
 
Back
Top Bottom