ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Mkuu, umeandika lugha gani?Heri ya mwaka mpya wanaJf.
Jana ilikua siku ya kipekee pale ambapo tumeaga mwaka 2018 na kukaribisha mwaka mpya 2019.
Majira ya jioni nikatoka ili kunyoosha miguu lakini pia na kutazama wapita njia wenzangu,baada ya kupita hapa na pale nikaibukia chimbo kupata bia mbili nikalale.
Wakati nipo pale baa mawazo yakabadilika nilipaswa kuagiza barimi nikachuku pombe kali(K-Vant) hii kitu ni mbaya mbovu aina tofauti na Gongo,mwili wote auna nguvu ni kama vile nimekunywa mafuta ya taa.
Ahsante.
aina,auna, yameharibu maana ya habari yote